kombi bora ni ile iliopo kweny moyo wako.huwez enda ubungo na kuuliza watu 'nataka safiri nipande bas lip?,wakat watu hawajui uendapo.watakupandisha la mbeya badala la mosh.comb unayoweza wewe kwa wengne ngumu.ila kwa ujumla comb tiit ni zile ambayo haijawah tokea one ya 3.
mkuu nasikia ECA haijatoaga I ya 3. wanaofaulu sana wanaanziaga point 4
mkuu nasikia ECA haijatoaga I ya 3. wanaofaulu sana wanaanziaga point 4
wewe mtoto acha kudanganya vijana wenzio nani alikuambia hazijawahi tokea division 1 pts 3 za hizo combinations....ngoja tukupe data coz hapa ndo JF msiwe mnakurupuka kupost bila kufanya research......ya,eca,pgm,pcb one ya 3 haijawah,egm wanabebwa na masomo mengne kama divinity ndo wanapata ya 3 la sivyo mtiti
wewe mtoto acha kudanganya vijana wenzio nani alikuambia hazijawahi tokea division 1 pts 3 za hizo combinations....ngoja tukupe data coz hapa ndo JF msiwe mnakurupuka kupost bila kufanya research......
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0119/0664
[/TD]
[TD="width: 4%"]M
[/TD]
[TD="width: 22%"]PETER URIO
[/TD]
[TD="width: 6%"]3
[/TD]
[TD="width: 4%"]I
[/TD]
[TD="width: 58%"]G/STUDIES-S PHYSICS-A CHEMISTRY-A BIOLOGY-A BAM-S
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
haya sasa huyo ni wa PCB amemaliza Kibaha 2011 yupo Muhimbili now anasoma Pharmacy mwingine ni David Mwasota kibaha pia alipata hiyo div 1 pts 3.....pia kuna jamaa anaitwa Martin Chegere Pugu mwaka 2007 alipata div 1 pts 3 EGM...and kuhusu ECA fuatilia vizuri afu uje na data hapa msipende kupotosha wenzenu
wewe mtoto acha kudanganya vijana wenzio nani alikuambia hazijawahi tokea division 1 pts 3 za hizo combinations....ngoja tukupe data coz hapa ndo JF msiwe mnakurupuka kupost bila kufanya research......
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0119/0664
[/TD]
[TD="width: 4%"]M
[/TD]
[TD="width: 22%"]PETER URIO
[/TD]
[TD="width: 6%"]3
[/TD]
[TD="width: 4%"]I
[/TD]
[TD="width: 58%"]G/STUDIES-S PHYSICS-A CHEMISTRY-A BIOLOGY-A BAM-S
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
haya sasa huyo ni wa PCB amemaliza Kibaha 2011 yupo Muhimbili now anasoma Pharmacy mwingine ni David Mwasota kibaha pia alipata hiyo div 1 pts 3.....pia kuna jamaa anaitwa Martin Chegere Pugu mwaka 2007 alipata div 1 pts 3 EGM...and kuhusu ECA fuatilia vizuri afu uje na data hapa msipende kupotosha wenzenu
ingine ni EGM jaribu kuangalia wengi wa wanaopata 1pt 3 wanabebwa na masomo mengine kama Divinity au computer studies
wewe mtoto acha kudanganya vijana wenzio nani alikuambia hazijawahi tokea division 1 pts 3 za hizo combinations....ngoja tukupe data coz hapa ndo JF msiwe mnakurupuka kupost bila kufanya research......
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0119/0664
[/TD]
[TD="width: 4%"]M
[/TD]
[TD="width: 22%"]PETER URIO
[/TD]
[TD="width: 6%"]3
[/TD]
[TD="width: 4%"]I
[/TD]
[TD="width: 58%"]G/STUDIES-S PHYSICS-A CHEMISTRY-A BIOLOGY-A BAM-S
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]
haya sasa huyo ni wa PCB amemaliza Kibaha 2011 yupo Muhimbili now anasoma Pharmacy mwingine ni David Mwasota kibaha pia alipata hiyo div 1 pts 3.....pia kuna jamaa anaitwa Martin Chegere Pugu mwaka 2007 alipata div 1 pts 3 EGM...and kuhusu ECA fuatilia vizuri afu uje na data hapa msipende kupotosha wenzenu
ila mbona iko frsh 2 hapo zero hamna labda uwe umevujshiwa pepar o level