Kwa wale waliopita advance na walioko

Kwa wale waliopita advance na walioko

nakumbuka nipokuwa nasoma advance kila mtu alikuwa anasema kombi anayosoma ni ngumu na ni bora kuliko kombi zingne na inatoa sana kimaisha .haya mm sikatai kuwa kila kitu ni kigumu na kinatoa kimaisha ila ukwel ni kuwa vyote ni bora na vigumu ila lazima vinazidiana kwa asilimia japo zinaweza zicwe nying je ww kwa mtazamo wako unaona kombi gani ni bora ,ngumu na inatoa sana kimaisha na kwa nn kaz kwako mwanajamii

umekosa kaz wewe...VP ILE YA UDALAL WA MAPENZ IMEKUSHINDA?
 
wewe mtoto acha kudanganya vijana wenzio nani alikuambia hazijawahi tokea division 1 pts 3 za hizo combinations....ngoja tukupe data coz hapa ndo JF msiwe mnakurupuka kupost bila kufanya research......
[TABLE="width: 70%"]
[TR]
[TD="width: 6%"]S0119/0664
[/TD]
[TD="width: 4%"]M
[/TD]
[TD="width: 22%"]PETER URIO
[/TD]
[TD="width: 6%"]3
[/TD]
[TD="width: 4%"]I
[/TD]
[TD="width: 58%"]G/STUDIES-S PHYSICS-A CHEMISTRY-A BIOLOGY-A BAM-S
[/TD]
[/TR]
[/TABLE]

haya sasa huyo ni wa PCB amemaliza Kibaha 2011 yupo Muhimbili now anasoma Pharmacy mwingine ni David Mwasota kibaha pia alipata hiyo div 1 pts 3.....pia kuna jamaa anaitwa Martin Chegere Pugu mwaka 2007 alipata div 1 pts 3 EGM...and kuhusu ECA fuatilia vizuri afu uje na data hapa msipende kupotosha wenzenu

tena huyo martine chegere alikuwa tanzania one!!
 
...mm set ilikua inaniyumbisha kabisaa,yaan nilikua cna uhakika wa kupata swali lake
 
kusoma kwategemea malengo yako na umejipangaje.
haijalishi wengine wasemeje,
ngumu kwao, maji hawajayagusa waseme yatakuunguza, wakati uliyeyavulia nguo huoni mosh
 
Mi mwenyeweEGM nimeweka 1.3 now npo SUA informatics and mathematics naenda kupiga code mwanzo mwisho,
 
Maisha hayaangalii vyeti nyie fanyeni tu mambo ya kulinganisha comb na vyuo sie tunapiga box tu na div 4 zetu
 
Mi mwenyeweEGM nimeweka 1.3 now npo SUA informatics and mathematics naenda kupiga code mwanzo mwisho,
 
Nakumbuka nipokuwa nasoma advance kila mtu alikuwa anasema kombi anayosoma ni ngumu na ni bora kuliko kombi zingne na inatoa sana kimaisha .Haya mm sikatai kuwa kila kitu ni kigumu na kinatoa kimaisha ila ukwel ni kuwa vyote ni bora na vigumu ila lazima vinazidiana kwa asilimia japo zinaweza zicwe nying je ww kwa mtazamo wako unaona kombi gani ni bora ,ngumu na inatoa sana kimaisha na kwa nn kaz kwako mwanajamii

akili ya kitoto hiyo...comb haiwezi kukutoa kimaisha!!
 
Back
Top Bottom