Its Pancho
JF-Expert Member
- Sep 21, 2018
- 15,966
- 26,404
- Thread starter
-
- #21
hahaha sawa mrejesho muhimu..Hanisumbui huyo aisee, ngoja nimpige vitu vikali hadi akome leo
hahaha sawa mrejesho muhimu..
me leo nmetulia home mkuu.. muulize huyo malkia atakua bataniMko wapi? Ndo natoka hapa mipango
me leo nmetulia home mkuu.. muulize huyo malkia atakua batani
Hajajua tuu mkuuNaona kalala
hahaha penda chako mkuu mbna viwanja kibao tuu bata za kutosha yaaniDodoma haina hadhi ya kuitwa "City" basi tu siasa za maji taka.
Yani unatoka hapo town kati ukikatiza kwa mguu area c, area d, upo miyuji ghafla mpamaaa hakuna hata nyumba ni mbingiri tu mnaita city?
Majiji yote Tz ni ya kawaida tu mkuu ukiringanisha na majiji ya nchi nyngne haswa zilizoendelea...so enjoy wat u see iz gudoDodoma haina hadhi ya kuitwa "City" basi tu siasa za maji taka.
Yani unatoka hapo town kati ukikatiza kwa mguu area c, area d, upo miyuji ghafla mpamaaa hakuna hata nyumba ni mbingiri tu mnaita city?
Dodoma haina hadhi ya kuitwa "City" basi tu siasa za maji taka.
Yani unatoka hapo town kati ukikatiza kwa mguu area c, area d, upo miyuji ghafla mpamaaa hakuna hata nyumba ni mbingiri tu mnaita city?
Wazee kama nyie nawapenda hamjui tuVijana mipunga kidogo hayo fanya kwa wazee kama mie, sorry Mganga asije akaezua paa la nyumba lakini
Hahahahha umeyataka mwenyeweyaani atanifilisi mpaka maji mwilini huyu bidada
Ila wewe nimeshakuzoomHela tuu mzeebaba viwanja kama vyote mzee malkia wa dom demiss anaelewa
Weekend amka tukanywe savanaa
Wewe mm nilkuwa natoka na yule mheshimiwa mnafiki anapenda kuhama vyama mzee wa mashangingiDada Demiss hivi Ruge anaendeleaje jamani? Nasikia ulikuwa unatoka naye wakati yuko za Zamaradi na ndipo ugomvi wenu ulikoanzia.
Wewe ni muongo promise zako fakeAgizeni kila mtu Grants moja , Natoka hapa Mipango kwenye SendOff sasa ivi.
Nakuja Kulipa MIMI. [emoji482][emoji482]
Mtumishi umeanza lini haya mamboHanisumbui huyo aisee, ngoja nimpige vitu vikali hadi akome leo