Kwa wale waliosoma alichokiandika aliyekuwa CEO wa Simba na Yanga Senzo atawaonea huruma Yanga wakienda Afrika Kusini Wiki ijayo

Kwa wale waliosoma alichokiandika aliyekuwa CEO wa Simba na Yanga Senzo atawaonea huruma Yanga wakienda Afrika Kusini Wiki ijayo

Kitu kinachonishangaza sana . Wale jamaa wanahatihati ya kushuka Daraja wapo nafasi ya 13 Katika timu 16 PSL.

IMAGINE WANGEKUWA NI ....

MAMELOD.
OLANDO.
KAIZERCHEEF INGEKUWAJE?????.


yanga Bado sana
Ni wenye Akili Kubwa wachache sana hapa JamiiForums ( wakiongozwa nami GENTAMYCINE ) ndiyo tutakuelewa kwa huu Ukweli Kuntu uliouandika ila usitegemee kabisa Kueleweka na Mazuzu / Majuha mengi kutoka Jangwani yaliyojazana hapa.
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Sauzi kama kijiwe kwa msela watu wanaenda kula nyasi..... Hapa inawazwa fainali sio nusu tena
 
Some yrs back
When you singled out Tutsi Ethnicty and denounce them as not real African and compared them to jews ndo nikagundua ur just none …
Mbona una Kiingereza cha Darasa la Tatu? Yaani hata Mwanangu Junior hawezi kuwa na Kiingereza cha Kiwango cha chini ( cha Kawaida mno ) kama hiki.
 
Hata hujui hii ni social platform na tunalipia kuisoma
Tengeneza jamii forum ya kwako , i swear i wont get any closer
Pumbavu unalipia Kusoma JamiiForums? Tokea lini? Nikikuita Mwendawazimu Uliyetukuka nitakuwa nakukosea Gegedu Wewe?
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Sema tumeshinda mbili Kwa nunge hayo mengine yatajijua huko huko tukifika
 
Ni wenye Akili Kubwa wachache sana hapa JamiiForums ( wakiongozwa nami GENTAMYCINE ) ndiyo tutakuelewa kwa huu Ukweli Kuntu uliouandika ila usitegemee kabisa Kueleweka na Mazuzu / Majuha mengi kutoka Jangwani yaliyojazana hapa.u
Mbona una Kiingereza cha Darasa la Tatu? Yaani hata Mwanangu Junior hawezi kuwa na Kiingereza cha Kiwango cha chini ( cha Kawaida mno ) kama hiki.
Again unahisi kujua lugha ya mwenzio ndo akili
Very poor mentality
 
Mbona una Kiingereza cha Darasa la Tatu? Yaani hata Mwanangu Junior hawezi kuwa na Kiingereza cha Kiwango cha chini ( cha Kawaida mno ) kama hiki.
Nakukumbusha hizo english za mwanao mfundishe ila hustle za kutafuta hela ni kariakoo english hakuna ni akili za kitaa tuu
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Wewe nawe huishi kuhangaika ili mrafi tu ulete uzi. Hebu tusmbie timu ipi ilifungwa goli nne na hao makolo wenzako wa Afrika Kusini.
 
Back
Top Bottom