Kwa wale waliosoma alichokiandika aliyekuwa CEO wa Simba na Yanga Senzo atawaonea huruma Yanga wakienda Afrika Kusini Wiki ijayo

Kwa wale waliosoma alichokiandika aliyekuwa CEO wa Simba na Yanga Senzo atawaonea huruma Yanga wakienda Afrika Kusini Wiki ijayo

"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Pompoma mwandamizi
 
Kwani wewe Genta una kazi gani mjini, mbona kama haupo busy na maisha kama wengine, maana hizi nyuzi ni nyingi mno
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Mwananchi sio robo fainali FC kama kolo,tumewapiga ndani wasubiri na nje,tena huko tutawashushia kipigo kizito 😂😂😂
 
Kitu kinachonishangaza sana . Wale jamaa wanahatihati ya kushuka Daraja wapo nafasi ya 13 Katika timu 16 PSL.

IMAGINE WANGEKUWA NI ....

MAMELOD.
OLANDO.
KAIZERCHEEF INGEKUWAJE?????.


yanga Bado sana

Pyramid anayeshika nafas ya 3 ligi ya kwao katolewa,, vipi na yeye pyramid ni bado sana?
 
Popoma aliyekosa kazi
Screenshot_20230510-203541.jpg
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Nakuhakikishia Gallants anakufa tena palepale KWAKE
 
Kwani wewe Genta una kazi gani mjini, mbona kama haupo busy na maisha kama wengine, maana hizi nyuzi ni nyingi mno
Nikiwa na Mama yako Faragha ndiyo huwa busy zaidi kwa Kazi yangu Maalum iliyotukuka.
 
"Ni kweli nimekaa Tanzania na Mimi sasa ni Mwanamchi mwana Yanga SC ila nawaonya Yanga SC kuwa wahakikishe katika Mechi yao ya Dar es Salaam dhidi ya Marumo Gallants FC wajitahidi wafunge Goli kuanzia 3 kwenda mbele ila wakifunga Goli 2 wajue wakija Kurudiana nao huku Afrika Kusini watakuwa na Mchezo mgumu na Watafungwa Goli nyingi zaidi kwani Marumo Gallants FC wakiwa Uwanja wake wa Nyumbani huwa na Mpira wa Spidi sana huku wakiwa na Hasira ya Ushindi kama Nyuki wanaolinda Mzinga wenye Asali na Malkia ndani yake" amesema Senzo Mbatha Mazingisa aliyekuwa CEO wa Simba SC na baadae Yanga SC.

Haya huwa mnanibishia sana na Kipopoma GENTAMYCINE hapa JamiiForums nikisema Ukweli au Nikichambua Soka sasa naomba na leo pia Mbishieni mwana Yanga SC Mwenzenu Senzo Mbatha Mazingisa kwa Ukweli wake Kuntu aliousema kama mna huo Ubavu.

Kudadadeki.

ANGALIZO

Kwa Wewe KISOKOLOKWINYO ( MUWASHWAJI MUWASHWAJI ) na Mpumbavu ( Damn Fool ) unayejijua humpendi GENTAMYCINE na Mada zake / Uwasilishaji wake hapa JamiiForums tafadhali TUSICHOSHANE na acha kabisa Kusoma na hata Kuchangia bali Watafute Members wengine unaowaona ni Bora Kwako na Unawakubali kuliko Mimi.

Nimemaliza.
Genta kwenye ubora wako. Karisimatiki gemu chenja
 
Back
Top Bottom