Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Fr Chilewa alikufanyany? Mbona alikua poa tu. Maisha ya seminary ni raha sana

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Jamani mbona una hukumu hivi mkuu....?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
BREVIARY
As for you, little child,
you shall be called a prophet of God, the Most High.
You shall go ahead of the Lord
To prepare his ways before him.
 
SHULE YA SEKONDARI MAURICE inawatangazia wazazi na walezi wote kwamba tunapokea wanafunzi kidato cha kwanza mwaka 2019, nafasi za kuamia kidato cha kwanza na cha pili pia tuna kituo cha mitihani kwa watahiniwa wa kujitegemea na Q.T. Vile vile pia tunapokea wanafunzi wa kidato cha tano kwa michepuo ya ECA, HGE, HGK, HKL na HGL. ADA ni nafuu sana. Shule ni ya kutwa na bweni kwa wavulana na wasichana. Shule ipo Dar es salaam wilaya ya temeke, eneo LA mbande kisewe. Simu 0785907371. Wote munakaribishwa.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Dar napamisi sana st.maryz MBALIZI seminary pale MBEYA,,,,,,chini ya baba Gombera KISWAGA,,,,,,,,padre Mwajamila yan ful ubabe,,,,,kutoroka kwenda mapelele,,,jiti na iwanga,,,,sunspension 3 yani niligraduate kimagumashi sana
Hahahaha Mwajamila alikuwa noma Msule dah RIP Fr.Kiswaga.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
😁Yule father alikua na tabu yake pia na raha yake,,saizi yupo ufilipino
 
😁😁😁
 
T.Y.K.

Nimewakumbuka Sana Ndugu Zangu!! Nilikuwa Jangwani Kipindu chote hiki na mamonaki wengine nikitafakari Makuu ya Mungu!!! Nimerejea Tena Ndani Ya Jamii Forum
 
T.Y.K.

Nimewakumbuka Sana Ndugu Zangu!! Nilikuwa Jangwani Kipindu chote hiki na mamonaki wengine nikitafakari Makuu ya Mungu!!! Nimerejea Tena Ndani Ya Jamii Forum
Milele Amina karibu. Rwaichi kashatukumbuka Wana DAR.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…