Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

Kwa wale waliosoma Seminari za Katoliki

ulipita miaka ipi unamkumbuka Fr mlengule,Damas mahali,vipi ile operesheni ya kupanda chai mawolo ulishiriki,lakini ile ya kupanda miti Ruhuji ndo ilikuwa noma aiseee
Daah! Imebidi nijibu kwenye uzi huu japokua ni wa kitambo. Katika pitapita zangu nimekuta ulimtaja Fr. Damas Mahali, mwamba sana. Alitufanya tukaipenda Hesabu na Fizikia.
 
Daah! Imebidi nijibu kwenye uzi huu japokua ni wa kitambo. Katika pitapita zangu nimekuta ulimtaja Fr. Damas Mahali, mwamba sana. Alitufanya tukaipenda Hesabu na Fizikia.
Mwaka Gani huo? 😂👐
 
Back
Top Bottom