Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Miaka ya nyuma wakati nipo boarding kuna msichana alikubaliana kufanya ngono na mwanaboarding mwenzetu ameenda eneo walilokubaliana yule boy akamaliza kiu yake akawa amewaita wanafunzi wengine

Tukio linaisha Aisee yule msichana alichakaa maana hata kutembea ikawa shida
 
binti wa kazi wa tundu lissu hayupo hum jukwaani??
 
Tukiwa wapangaji wote kwenye nyumba flani hv, kuna mpangaji mmoja alikuwa mnoko sana maana ye alikuwa ndio mkusanyaji kodi na kumpelekea bosi. Sasa mpangaji huyu akajisahau akawa ana tutriti kama ye ndio bosi.

Nilikuwa na kibaisikeli changu cha gia cha kuendea kazini, sasa kilikuwa kinalala koridoni na pikipiki zake mbili aina ya triller ilikuwa ni lazima baiskeli niingize saa tano usiku wakati wa kulala na kutoa ilikuwa ye ndio anatoa maana alikuwa anawahi kuamka ili atoe vitu vyake vya duka lazima aanze pikipiki zake na baiskeli yangu

Sasa kuna siku nilisafiri kama siku mbili hv kurudi baiskeli sikuiona kumuuliza akanijibu hiyo baiskeli nilimwachia? Au kuna sehemu tuliandikiana kuwa nimemkabidhi? Nikapiga kimya upelelezi wangu nikagundua aliiuza buku 50, nikamfata dogo aliyeuziwa nikampa 50 yake nikarudi ghetto sikutaka kwenda polisi wala nn, alipoiona ghetto akauliza ehh umeipata nikamjibu si unaiona hapo

Baada ya mwezi niliamka saa 7 usiku na pakiti 4 za chumvi nikafungua tank za pikipiki zake nikamwaga ilipofika asubuhi pikipiki haziwaki hadi nahama pikipiki ziko stoo na kutu la kutosha aliogopa kuniuliza maana najua gereji walimwambia nini kilikumba pikipiki zake
 
Duh
 
Duh!
 
mbona kawaida sana
 
Duh wewe
 
ulibakwa pole sana
 
Wanawake wengi wanaochoropoa mimba huwa wanapigwa dushelele kwanza.... au baada ya kutoa.
 
Nawakumbusha tu,usije mwambia msukuma,mkerewe au mjita siri yako...ni heri ukatangaze kwenye station ya radio!
Ndugu naomba ututake radhi wakerewe.Hilo ni kabila ambalo limejizolea umaarufu kwa uwezo wa watu wake wa kukaa au kutunza siri.Tokea enzi zile za mwalimu Wakerewe wmekuwa kundi kubwa wakifanya kazi kubwa ya vitengo maalumu,na hili nimeendlea kuthibitika mpk sasa, ukiingia hiyo idara utakutana nao wengi tu.Mkerebhe ni mphele
 
Mashoga wengi ni huanzishwa hako kamchezo kwa style hizi na ndugu/majirani wanaoaminika.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…