Mkuu kama hukumla ulizingua sana, pengine kwenye ule uzi wa kula tunda kimasikhara story yako ingekuepoHatari , baba mwenye nyumba yangu alifunaniwa ikabidi mchepuko auingize geto kwangu alafu akazuga ni demu wangu, wala sikumwambia mama huyo nilikaa kimya ,alafu demu lilikuwa powa sana yan hatari mno, nilitamani niligeukie ilikuwa saa mbili usiku mama mwenye nyumba yuko safari sasa aakarudi ghafla palichimbika balaa
Dah, aiseeeee!!Baada ya kugundua jirani analiwa na jirani Alafu baadae jirani aliyeliwa anafunga ndoa nakusimamiwa na jirani aliemla.
.Binadamu kweli sio wa mchezomchezo .
Nina mahusiano na mfanyakazi mwenzangu kwa miaka miwili hakuna mtu anayejua zaidi yangu na yeye kwani ana umri zaidi yangu na tunaogopa watu wasijue dah kila mtu anafamilia yake pia
Mkuu kama hukumla ulizingua sana, pengine kwenye ule uzi wa kula tunda kimasikhara story yako ingekuepo
Unatumia siri wewe dahBinadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,
Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha
Najua na wee una siri umetunza tudokeze
NimekumissBillie huwa hupati notification?
Daa we nomaMim siwezi kutunza siri, memory ya kuhifadhi data ya kichwa changu kina mambo ya msingi sana ya kuhifadhi..
Siri kesho yake unakuta nimesha sema..
Mim nilisha wahi kumwona mama na mtoto wake wa kike wanamfukia kitoto kichanga.. Usiku hawakuniona kesho yake mapema nikaenda kulisanua..
Nikaja nikumwona msichana mmoja jirani alikuwa akiishi na mdogo wake wa kike dada mtu alikuwa ni fundi wa kushona alikuwa mjamzito ila hakuna aliekuwa anafahamu hakuwa anatoka nje ya nyumba hadi siku anajifungulia nyumbani mdogo wake yupo shuleni, mtoto akamtupa chooni nikashtuka nikalisanua
Kuna jamaa mmoja alikuwa na grosary yake ya kuuza pombe, ilikuwa karibu na kituo kikubwa cha polis, kumbe nyuma yake mchizi alikuwa anauza madawa ya kulevya, wacha nije nilisanue, kumbe pimbi alikuwa na connection na askari wa pale akaja kunshtukia wacha ale sahani moja na mim, wacha nilisanue karibia kituo kizima cha polis walihamishwa na ule mkoa nikahama mazima
Daaa kmmk walahi we kilazamm nilipewa majibu ya mitihani yote isipokua
biology kidato cha 4
ila nikapata three ya 24
[emoji41]
mm nilipewa majibu ya mitihani yote isipokua
biology kidato cha 4
ila nikapata three ya 24
😎
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakupenyeza hata kichwa
Binadamu katika mazingira mbali mbali,ukumbana na majanga mbali mbali ambayo mengine ni hatari kabisa,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu kiauawa na kukaa kimya
Kuna waliowahi kuona mtu anamloga mwingine wakatunza siri,
Kuna waliowahi kuona mwenzao anaibiwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi kushuhudia mtu anabakwa wakakaa kimya,
Kuna waliowahi shuhudia mtu au mke wa mtu anatembea na mwanaume mwingine wakakaa kimya,
Mi siri yangu ambayo sitakuja kuisema ni kamba nilimfumania mjomba mkubwa akiwa anatembea na mke wa mjomba mdogo alafu wakajua kwamba nimejua sikuwahi kuisema ilikanusha, yapata miaka 20 sasa,
Leo kuna rafiki yangu amenambia kwamba akiwa mdogo alimuua mtu akiwa Croatia mwaka 1994 , na hakuna aliyejua,
Mwingine (dr) akasema kuwa amewahi kumuinject mgonjwa UKIMWI kupitia syringe, na akakaa kimya maana alilipwa Hela ya kutosha
Najua na wee una siri umetunza tudokeze
Ushatuambia sasaTulipewa majibu mtihani wa taifa wa darasa la nne,hii ni siri ambayo sijawahi mwambia mtu yoyote
Mtoto wanaishi naye na jamaa anajua ni mtoto wakeMtoto yupo wapi??? Me kuna manzi aisee nusu Nile maana mumewe alikuwa hashindi nyumbani kabisa na ndoa ilikuwa changa sema niliwazaa Sana nkaona sio poaa
Dah hii dhambi ni kubwa sanaMtoto wanaishi naye na jamaa anajua ni mtoto wake
Kweli mkuu lakini nimeshaomba msamaha kwa molaDah hii dhambi ni kubwa sana