Kwa wale waliowahi kutunza siri nzito kwa muda mrefu tukutane hapa

Mkuu kama hukumla ulizingua sana, pengine kwenye ule uzi wa kula tunda kimasikhara story yako ingekuepo
 
Mimi nikiwa na siri na mtu alafu nikahisi atanichoma lazima Afe
 
Nina mahusiano na mfanyakazi mwenzangu kwa miaka miwili hakuna mtu anayejua zaidi yangu na yeye kwani ana umri zaidi yangu na tunaogopa watu wasijue dah kila mtu anafamilia yake pia
 
Nina mahusiano na mfanyakazi mwenzangu kwa miaka miwili hakuna mtu anayejua zaidi yangu na yeye kwani ana umri zaidi yangu na tunaogopa watu wasijue dah kila mtu anafamilia yake pia

Ahahahaha sio siri tena tumeshajua sasa
 
Kuna mtu sikumpigia kura 2015,siri hii nimekaa nayo moyoni mpaka thread ya kufichua siri ilipowasilishwa,2020 sifanyi siri mtu yule hupati ka kura kangu
 
Unatumia siri wewe dah
 
Daa we noma
 
Hakuweza kupenetrate, alifila matako tu sio mkundu

Sent using Jamii Forums mobile app
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23] hakupenyeza hata kichwa
 
 
Mtoto yupo wapi??? Me kuna manzi aisee nusu Nile maana mumewe alikuwa hashindi nyumbani kabisa na ndoa ilikuwa changa sema niliwazaa Sana nkaona sio poaa
Mtoto wanaishi naye na jamaa anajua ni mtoto wake
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…