Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Kwa wale waliozaliwa na waliowahi kuishi Tabora, tukumbushane vituko vya Mboka

Unaikumbuka mitaa ya Bachu, Gongoni, Chemuchemu, Mwanza rd ....?


Mwanangu Yani Hiyo ID yako tu, lazima mtu ajue Kua Wewe ni Wa Mboka. Iselamagazi walikua wanapelekwa wizi na wasungusungu kuwatesa kule! Na walikua wakiimba nyimbo ndani yake ya huo wimbo wanataja neno Iselamagazi .

Mwanangu Hiyo mitaa naikumbuka sn! Chemchem, Ng'ambo, Mwanza Road, Isevya na Kiloleni ilikua na vibaka Hiyo mitaa vibaya sn!
 
Last edited by a moderator:
Mkuu hamna cha kujikumbusha hapa Tabora hali mbaya, !! na sisi watu wa Mboka tunaoishi hapo BONGO hamna ushirikiano kabisa! Isevya oyeeeeeeeeeeee!!!



Mwanangu hapa twapiga porojo tu! Yapo mengi ya kujikumbusha Kama kwenda Disco Ramka Hotel Au kuona Live Band ya Sensema Malunde!

Cc; TUKUTUKU
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom