ladyfurahia
JF-Expert Member
- May 10, 2011
- 14,753
- 9,575
NAOMBA NITOE WASIFU WA WALE WANAJF WALIOZALIWA KUANZIA ATAREHE 7,17 NA 27
SIFA ZAO:
A. Ni watu walio na moyo wa ukarimu na wenye ujasiri katika kile wakifanyacho
B. Ni watu wenye kuthubutu kutaka maendeleo ya juu zaidi katika nyanja mbalimbali za maisha
C. Ni watu wenye kupenda wengine na kuwajali sana tena sana kuliko wao wenyewe
D Ni watu waliona hekima na busara nyingi za kuzaliwa nazo na ni watafiti wa mambo
E. Ni watu wenye kuona mbali katika mstakabali wa maisha yao yaani wadadisi wa mambo
F. Ni wenye uwezo mkubwa wa kuongoza na kushika madaraka mbalimbali hususani katika elimu, siasa n.k.
J. Ni watu wacheshi na wachangamfu pindi wawapo katika umati wa watu utawatambua tu kwa muonekano wao.
Kama wewe mwanajf una sifa hizi basi utakuwa mtu wenye kibali machoni pa wengi na kuwa wa juu zaidi kuliko wale waliozaliwa tarehe nyingine. Huu ni mtazamo wangu tu jamani msinishikie bango nimechambua tu hapa
SIFA ZAO:
A. Ni watu walio na moyo wa ukarimu na wenye ujasiri katika kile wakifanyacho
B. Ni watu wenye kuthubutu kutaka maendeleo ya juu zaidi katika nyanja mbalimbali za maisha
C. Ni watu wenye kupenda wengine na kuwajali sana tena sana kuliko wao wenyewe
D Ni watu waliona hekima na busara nyingi za kuzaliwa nazo na ni watafiti wa mambo
E. Ni watu wenye kuona mbali katika mstakabali wa maisha yao yaani wadadisi wa mambo
F. Ni wenye uwezo mkubwa wa kuongoza na kushika madaraka mbalimbali hususani katika elimu, siasa n.k.
J. Ni watu wacheshi na wachangamfu pindi wawapo katika umati wa watu utawatambua tu kwa muonekano wao.
Kama wewe mwanajf una sifa hizi basi utakuwa mtu wenye kibali machoni pa wengi na kuwa wa juu zaidi kuliko wale waliozaliwa tarehe nyingine. Huu ni mtazamo wangu tu jamani msinishikie bango nimechambua tu hapa