Kwa wale wanao fahamu kuuza na kununua vitu online

de98

JF-Expert Member
Joined
Aug 13, 2017
Posts
737
Reaction score
759
Habari zenu wana jukwaa pendwa
napenda kufahamu , mfano nataka ninunue simu online kupitia tovuti zetu pendwa
hasa JUMIA
kwa wale wazoefu ,mpaka mzigo ukufikie mnunuaji hulipia gharama zote pamoja na kodi & usafiri hasa mzigo wake
unapofika?
nipeni uzoefu
 
Niliwahi ona kuna jamaa hua anatumia Ebay kununua,kwaiyo akihitaji mfano kama simu inakuwa na maelezo yote mfano bei yake kama imejumuisha na usafiri na kuna nyingine bei ya simu na usafiri ni tofauti kwaiyo hapo ni wewe tu na maamuzi yako
 
mfano nataka ninunue simu online kupitia tovuti zetu pendwa
hasa JUMIA
kwa wale wazoefu ,mpaka mzigo ukufikie mnunuaji hulipia gharama zote pamoja na kodi & usafiri hasa mzigo wake
unapofika?
Kiasi kilichoandikwa JUMIA ndio kiasi unatakiwa kulipia, sio nje ya hapo.
pamoja na kodi & usafiri hasa mzigo wake
unapofika?
Iwapo utanunua nje ya nchi, ndio kuna baadhi ya bidhaa unatakiwa kulipia kodi.
Waweza pitia hii thread: www.bit.ly/101buy4me
 
Kama ni JUMIA ingia tu jumia agiza watakuletea mpaka ulipo au kuifata inategemea na vendor nadhani but kama ni Ebay kuna ghrarma za kusafirisha ila kule kuna product zinazouzwa ndani ya USA au mara nyngne ni USA, CANADA, UK huwa zinakuwa na bei ndogo kweli kweli kuliko za International so kwa wazoefu wa kitambo kama sie huwa kuna njia tunatumiaga huko tunanunua kama USA resident then tunaleta DUNIA ya 3 huku. Pia kwa njia hzo tunafanya kitu kinaitwa Repackaging, consolidation yaan tunaunganisha products nying tofauti tofauti na kuweka kwenye box 1 kupunguza shipping cost au ata receipt huwa tunaipotezea mzigo kama n i mdog unafika kama zawad il kumpunguza kasi KUBWA LA MAADUI. But ukumbue jia hz kama sio mtaalam sana wa maswala haya inabd kidogo unyoshe mkono ili wengine nao walishe familia nyumbani.
But all n all I wsh you all the best!
 
Kiasi kilichoandikwa JUMIA ndio kiasi unatakiwa kulipia, sio nje ya hapo.

Iwapo utanunua nje ya nchi, ndio kuna baadhi ya bidhaa unatakiwa kulipia kodi.
Waweza pitia hii thread: www.bit.ly/101buy4me

sawa sawa mkuu.. mana nataka ninunue simu ila nkaona isije ikanifikia mkononi nishalipa pesa ndefu
 
asante kwa maelezo yako mazuri
 
Ndugu de98 Uzi wa rejea huu hapa: https://www.jamiiforums.com/threads...zi-kwenye-mtandao-ebay-amazon-bestbuy.714290/
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…