de98
JF-Expert Member
- Aug 13, 2017
- 737
- 759
Habari zenu wana jukwaa pendwa
napenda kufahamu , mfano nataka ninunue simu online kupitia tovuti zetu pendwa
hasa JUMIA
kwa wale wazoefu ,mpaka mzigo ukufikie mnunuaji hulipia gharama zote pamoja na kodi & usafiri hasa mzigo wake
unapofika?
nipeni uzoefu
napenda kufahamu , mfano nataka ninunue simu online kupitia tovuti zetu pendwa
hasa JUMIA
kwa wale wazoefu ,mpaka mzigo ukufikie mnunuaji hulipia gharama zote pamoja na kodi & usafiri hasa mzigo wake
unapofika?
nipeni uzoefu