Habari za kutwa wadau.?
Naona fursa katika hii biashara ya mahindi kutoa shamba na kuleta mjini. Nilikuwa nahitaji kuanza hii biashara nilikuwa naomba mwongozo juu hii biasha.
Ni mtaji kiasi gani naweza anza nao?
Ni changamoto gani inayo zinazo ikumba hii biashara?
Wapi naweza pata mahindi kwa bei ya chini kiasi?
Asanteni karibuni sana..
Naona fursa katika hii biashara ya mahindi kutoa shamba na kuleta mjini. Nilikuwa nahitaji kuanza hii biashara nilikuwa naomba mwongozo juu hii biasha.
Ni mtaji kiasi gani naweza anza nao?
Ni changamoto gani inayo zinazo ikumba hii biashara?
Wapi naweza pata mahindi kwa bei ya chini kiasi?
Asanteni karibuni sana..