wamogori
JF-Expert Member
- Mar 20, 2013
- 888
- 339
Ikiwa ulifanikiwa kujua umechaguliwa wapi kupitia Airtel unaweza kwenda chuo husika kwa ajili ya kuchukua admission letter, joinning instructions na mambo mengine kwani tayari majina yameishatumwa kwenye vyuo husika. Lakini kuna baadhi ya vyuo bado havijapata majina ya second round. Kuna dogo leo amechukua admission leter na kuripoti ni 15 Oct 2013 kwa chuo chake