Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha kupoteza watu hayo ni mambo yako binafsi ... Mkuu endelea kulala, maana hii ndoto uliyoota leo, nakuamkia Jamii forums nakuanzia kupost unavyovijua wewe
...
UDSM wanafungua tarehe 22/10 awali ilikuwa 7/10 jmn ubishi hausaidii subirin muone
Ina maana shule za Kata hazifundishi hata kuandika Kiswahili vizuri? Kazi tunayo! Eti uwakika, avijatangaza kweli??
na akawasa waajili kusaidia bodi kurudisha mikopo!!.
Acha kupiga mayowe wewe!!aliyekwambia nasoma au nilisoma shule ya kata nani.? Acha kujishaua mkuu, hiyo shule yako nzuri imekusaidia nini au umefundishwa kupinga watu humu,na kuangalia nani kakosea kuandika