Kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi kwa njia zisizo rasmi pitia hapa

Kwa wale wanaopenda kufanya mapenzi kwa njia zisizo rasmi pitia hapa

haya mambo tuachieni watu wa pwani!mimi lazma niambae kama nyoka kwanza kuanzia sikioni mpk kwenye dole gumba la mguu!ndio nianze kusimika!
Mkuu hata mimi mwenyewe ni mtu wa pwani pia lakini hata kama tunayapenda haimanishi kuwa tunapaswa kuupinga ukweli pale tunapoletewa tafiti zenye kuelezea madhara yake.
 
Kama hujawahi. Usijaribu maana hutaacha. Hakuna maji matamu kama yale yatokayo kwenye papuchi ukiipiga katerero na ulimi halafu ukaigusa G spot vzr. Yale maji chrrr chrrrrr ni matamu mno.
unaposema matamu, ina maana unamesa yote..??[emoji45]
 
Kuu..unaposema matamu, ina maana unamesa yote..??
emoji45.png
Yaani we acha tu hadi upate mhaya au mganda ambao wanarusha maji mengi
halafu uyawahi pale kwenye source we acha tu waganda na wahaya wako juu
unaposema matamu, ina maana unamesa yote?[emoji45]
 
Neno Sex ni 'gender' ikimaanisha jinsia. Sexual act inamaana ya tendo la ndoa lenye kuhusisha jinsia mbili.

Wale wanaoenda zaidi na kufanya ile inaitwa kinyume na maumbile ni kosa kwa Mungu wao na pia miili yao wenyewe.

Imethibitika sex kinyume na maumbile husababisha particles za kwenye 'Anus' kuingia katika maumbile ya mwanaume na baadaye hupelekea blockage ya Urethra(sperm duct and urine duct).

Nadhani mmesikia matukio mengi ya surgery kurekebisha hizi passageways
Hii ya kutumia midomo(mtaani wanaita kuzama ch.u.v.in.i nadhani pia ni kwenda mbali na makusudio muhimu ya sex.

Kuna virus wanaitwa Human Papilloma Virus(HPV) wanaosababisha Cervical Cancer

80% ya wagonjwa wa Cancer Tz ni hawa wa Cervical Cancer inayoathiri Cervix(njia ya uzazi) wa mwanamke.

Jamaa anapozama kwa mwanamke aliyeambukizwa hupelekea kupata hawa Virus ambao huathiri sehemu ya koo(Throat Cancer )

Nadhani mmekutana na cases za Throat Cancer, zipo zipo sana siku hizi.

Hivyo basi 'doing sex' inamaana hasa kutumia sexual organs na sio vinginevyo.
Ukishaongelea madhara ya jambo, inatakiwa ulete mbadala wake, namna ya kufanya bila kupata hayo madhara kama vile kutumia mpira, kuna njia nyingine nimeikuta wanatumia sana malaya marekani sitaizungumzia humu, huko kunatumika bila mpira tena fresh tu .
 
Haya madhara yapogo na wanayajua ila binadamu wagumu kuelewa yani mpaka wapate hayo magonjwa ndo ufahamu utawarudi, maana kwa Sasa wamejitoa ufahamu
 
Kama hujawahi. Usijaribu maana hutaacha. Hakuna maji matamu kama yale yatokayo kwenye papuchi ukiipiga katerero na ulimi halafu ukaigusa G spot vzr. Yale maji chrrr chrrrrr ni matamu mno.
Dah..
 
Lakini kama mnatumia kinga maana yake hayo madhara hayata mpata mwanaume
 
Back
Top Bottom