Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 804
- 2,131
Habari nilizozpata kutoka chanzo makini ni kuwa JWTZ hawatatoa nafasi mwaka huu,na hata km zikitoka ni kuanzia mwezi wa 9 kuendelea...MAJESHI yatakayotoa ni POLISI(zishatoka wiki iliyopita) na MAGEREZA...FIDFOC,sina uhakika..naomba kuwasilisha