MUJINI CHULE
Member
- Jan 15, 2014
- 7
- 2
Wadau mimi nategemea kufanya mitihani hiyo mwezi may mwaka huu hivyo basi natafuta watu waku-discuss nao.
Kama upo Mwanza mjini tuwasiliane kwa kupitia link hii tuone tunayaanzaje masomo mapema, maana mitihan ya board
inaonekana kuwa tishio usipokuwa umejiandaa vizuri na mapema. Nawasilisha
Kama upo Mwanza mjini tuwasiliane kwa kupitia link hii tuone tunayaanzaje masomo mapema, maana mitihan ya board
inaonekana kuwa tishio usipokuwa umejiandaa vizuri na mapema. Nawasilisha