Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
Niende moja kwa moja kwenye mada, ukiamua kufuga mbwa hasa hawa wakizungu kama Rottweiler, Pitt Bull, Mastif, Belgium Malnoir nk, tenga muda wa kuwa nao karibu. Mafunzo ni muhimu wafanye watambue kuwa wewe ndo mkuu na kiongozi.
Kwanini nasema hivi kuna kipindi nileta habari ya mbwa ya mbwa kumuua kijana wa kazi Dar, nilieleza kwa urefu saana, nikaeleza namna ya kuishi na mbwa kama Rott, Pitbull, Borebull na bila kusahahau GS. Lakini wengi walifanya utani bila kuzingatia somo. Narudia tena kwa ufupi kwa sababu kuna issue ya mbwa kumuua boss wao huko SA.
Chukuwa tahadhari zaidi unapokuwa na cross breed ya mbwa. Nimeyasema kwa sababu kuna mbwa wameua mmiliki wao huko SA, source BBC. Mimi ni mfugaji wa mbwa aina ya Rottweiller ninao wanne lakini wana utii wa hali ya juu.
Usiku inapoktokea wabweka saana nikiamka nitawaita nikiwa ndani watakuja dirishani au mlangoni, baada ya hapo ndo ninafungua mlango ninatoka then wao watanielekeza wapi kuna shida.
Usitoke nje kabla hujawasiliana na mbwa wako hasa kama tayari walikuwa wamechUkia na hakuna umeme, wanaweza kukuvamia na kukua.
Kwanini nasema hivi kuna kipindi nileta habari ya mbwa ya mbwa kumuua kijana wa kazi Dar, nilieleza kwa urefu saana, nikaeleza namna ya kuishi na mbwa kama Rott, Pitbull, Borebull na bila kusahahau GS. Lakini wengi walifanya utani bila kuzingatia somo. Narudia tena kwa ufupi kwa sababu kuna issue ya mbwa kumuua boss wao huko SA.
Chukuwa tahadhari zaidi unapokuwa na cross breed ya mbwa. Nimeyasema kwa sababu kuna mbwa wameua mmiliki wao huko SA, source BBC. Mimi ni mfugaji wa mbwa aina ya Rottweiller ninao wanne lakini wana utii wa hali ya juu.
Usiku inapoktokea wabweka saana nikiamka nitawaita nikiwa ndani watakuja dirishani au mlangoni, baada ya hapo ndo ninafungua mlango ninatoka then wao watanielekeza wapi kuna shida.
Usitoke nje kabla hujawasiliana na mbwa wako hasa kama tayari walikuwa wamechUkia na hakuna umeme, wanaweza kukuvamia na kukua.