Kwa wale wapenda mbwa tuchukue tahadhari

Kwa wale wapenda mbwa tuchukue tahadhari

Hypersonic

JF-Expert Member
Joined
Apr 14, 2012
Posts
829
Reaction score
1,564
Niende moja kwa moja kwenye mada, ukiamua kufuga mbwa hasa hawa wakizungu kama Rottweiler, Pitt Bull, Mastif, Belgium Malnoir nk, tenga muda wa kuwa nao karibu. Mafunzo ni muhimu wafanye watambue kuwa wewe ndo mkuu na kiongozi.

Kwanini nasema hivi kuna kipindi nileta habari ya mbwa ya mbwa kumuua kijana wa kazi Dar, nilieleza kwa urefu saana, nikaeleza namna ya kuishi na mbwa kama Rott, Pitbull, Borebull na bila kusahahau GS. Lakini wengi walifanya utani bila kuzingatia somo. Narudia tena kwa ufupi kwa sababu kuna issue ya mbwa kumuua boss wao huko SA.

Chukuwa tahadhari zaidi unapokuwa na cross breed ya mbwa. Nimeyasema kwa sababu kuna mbwa wameua mmiliki wao huko SA, source BBC. Mimi ni mfugaji wa mbwa aina ya Rottweiller ninao wanne lakini wana utii wa hali ya juu.

Usiku inapoktokea wabweka saana nikiamka nitawaita nikiwa ndani watakuja dirishani au mlangoni, baada ya hapo ndo ninafungua mlango ninatoka then wao watanielekeza wapi kuna shida.

Usitoke nje kabla hujawasiliana na mbwa wako hasa kama tayari walikuwa wamechUkia na hakuna umeme, wanaweza kukuvamia na kukua.
 
Niende moja kwa moja kwenye mada, ukiamua kufuga mbwa hasa hawa wazungu kama Rottweiler, Pitt Bull, Mastif, Belgium Malnoir nk, tenga muda wa kuwa nao karibu. Mafunzo ni muhimu wafanye watambue kuwa wewe ndo mkuu na kiongozi.

Kwanini nasema hivi kuna kipindi nileta habari ya mbwa ya mbwa kumuua kijana wa kazi Dar, nilieleza kwa urefu saana, nikaeleza namna ya kuishi na mbwa kama Rott, Pitbull, Borebull na bila kusahahau GS.

Chukuwa tahadhari zaidi unapokuwa na cross breed ya mbwa. Nimeyasema kwa sababu kuna mbwa wameua mmiliki wao huko SA, source BBC. Mimi ni mfugaji wa mbwa aina ya Rottweiller ninao wanne lakini wana utii wa hali ya juu.

Usiku inapoktokea wabweka saana nikiamka nitawaita nikiwa ndani watakuja dirishani au mlangoni, baada ya hapo ndo ninafungua mlango ninatoka then wao watanielekeza wapi kuna shida.

Usitoke nje kabla hujawasiliana na mbwa wako hasa kama tayari walikuwa wamechkiwa na hakuna umeme, wanaweza kukuvamia na kukua.
Ni kweli na ujumbe mzuri

Nilikuwa namiliki mbwa na alitokea kunizoea sana kushinda mtu mwingine yeyote Sasa mihangaiko ikapelekea niwe naye mbali na watu nilimuacha/wanaomuangalia kwa ukaribu ni watoto (14-17yrs) changamoto moja wapo muda wa chakula, kumfungia asubuhi na kumfungulia ndipo kazi ilipo, wanatoa taarifa mbwa ni mkali hata kwao chakula wanamuwekea mbali ndipo wanamfungulia na watu wote muda huo wahakikishe wako ndani maana kawatembezea meno sana.

Muda wa kumfunga/kumfungulia Hadi wamvizie or kumdanganya na chakula waweke bandani akiingia ndipo wamfungie, kesi kila siku wageni kung'atwa Kama ningempa mafunzo na ukaribu baadhi ya watu nilikuwa naishi nao asingeleta matatizo mengi maana mwenyewe ndiye niluyekuwa namfunga na kumfungua na hakuna atakayetoka asubuhi kama sijamfunga na akifanikiwa kutoka nje ya uzio siku hiyo kesi tu kwa wapita njia Ilipelekea nitoe maamuzi ya kumuua(R.I.P Sargent)
 
kwa sie wenye ile mbegu maarufu ya 'african toyota' hatuna haja ya angalizo hili.
Niende moja kwa moja kwenye mada, ukiamua kufuga mbwa hasa hawa wakizungu kama Rottweiler, Pitt Bull, Mastif, Belgium Malnoir nk, tenga muda wa kuwa nao karibu. Mafunzo ni muhimu wafanye watambue kuwa wewe ndo mkuu na kiongozi.

Kwanini nasema hivi kuna kipindi nileta habari ya mbwa ya mbwa kumuua kijana wa kazi Dar, nilieleza kwa urefu saana, nikaeleza namna ya kuishi na mbwa kama Rott, Pitbull, Borebull na bila kusahahau GS. Lakini wengi walifanya utani bila kuzingatia somo. Narudia tena kwa ufupi kwa sababu kuna issue ya mbwa kumuua boss wao huko SA.

Chukuwa tahadhari zaidi unapokuwa na cross breed ya mbwa. Nimeyasema kwa sababu kuna mbwa wameua mmiliki wao huko SA, source BBC. Mimi ni mfugaji wa mbwa aina ya Rottweiller ninao wanne lakini wana utii wa hali ya juu.

Usiku inapoktokea wabweka saana nikiamka nitawaita nikiwa ndani watakuja dirishani au mlangoni, baada ya hapo ndo ninafungua mlango ninatoka then wao watanielekeza wapi kuna shida.

Usitoke nje kabla hujawasiliana na mbwa wako hasa kama tayari walikuwa wamechUkia na hakuna umeme, wanaweza kukuvamia na kukua.
 
Ni kweli na ujumbe mzuri

Nilikuwa namiliki mbwa na alitokea kunizoea sana kushinda mtu mwingine yeyote Sasa mihangaiko ikapelekea niwe naye mbali na watu nilimuacha/wanaomuangalia kwa ukaribu ni watoto (14-17yrs) changamoto moja wapo muda wa chakula,kumfungia asubuhi na kumfungulia ndipo kazi ilipo,wanatoa taarifa mbwa ni mkali hata kwao chakula wanamuwekea mbali ndipo wanamfungulia na watu wote muda huo wahakikishe wako ndani maana kawatembezea meno sana,muda wa kumfunga/kumfungulia Hadi wamvizie or kumdanganya na chakula waweke bandani akiingia ndipo wamfungie,kesi kila siku wageni kung'atwa
Kama ningempa mafunzo na ukaribu baadhi ya watu nilikuwa naishi nao asingeleta matatizo mengi maana mwenyewe ndiye niluyekuwa namfunga na kumfungua na hakuna atakayetoka asubuhi kama sijamfunga na akifanikiwa kutoka nje ya uzio siku hiyo kesi tu kwa wapita
njia
Ilipelekea nitoe maamuzi ya kumuua(R.I.P Sargent)
Hukufanya sahihi kumua, ulipaswa kufanya jambo moja rahisi, kwanza hakikisha uzio ni imara na si waya, pili asubuhi kabla ya kurudisha bandani avishwe mnyororo na kumtembeza kilometa kadhaa, wakati mnatembea ungehakikisha hakutangulii, kila akienda mbele vuta ile leash au mnyoromnyoro kwa nguvu na ghafla, ukifanya hivo mara mbili tatu atajua hautaki atangulie hivo atatembea sambamba na wewe, mfundishe amri chache za utii, kama acha, kaa, lala chini, njoo, twende, ingia ndani, subiri na ajue amri ya wakati wa kushambulia na wakati wa kuacha. Baada ya hapo utampenda mbwa wako.
 
Back
Top Bottom