Hypersonic
JF-Expert Member
- Apr 14, 2012
- 829
- 1,564
- Thread starter
- #21
mbwa hashambulii kwa sababu ya njaa, bali kwa kuona himaya yake imevamiwa au kukihisi anapuuzwa ama ana adhibiwa.Aisee jitahidi kuwalisha kuepuka usumbufu wa kuliwa wewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
mbwa hashambulii kwa sababu ya njaa, bali kwa kuona himaya yake imevamiwa au kukihisi anapuuzwa ama ana adhibiwa.Aisee jitahidi kuwalisha kuepuka usumbufu wa kuliwa wewe
Kwa muda ambao nimekaa mbali na sitegemei kurejea kwa kipindi Cha miezi 10 nafkiri nimefanya sahihi ili kuepusha matatizo zaidi.Hukufanya sahihi kumua, ulipaswa kufanya jambo moja rahisi, kwanza hakikisha uzio ni imara na si waya, pili asubuhi kabla ya kurudisha bandani avishwe mnyororo na kumtembeza kilometa kadhaa, wakati mnatembea ungehakikisha hakutangulii, kila akienda mbele vuta ile leash au mnyoromnyoro kwa nguvu na ghafla, ukifanya hivo mara mbili tatu atajua hautaki atangulie hivo atatembea sambamba na wewe, mfundishe amri chache za utii, kama acha, kaa, lala chini, njoo, twende, ingia ndani, subiri na ajue amri ya wakati wa kushambulia na wakati wa kuacha. Baada ya hapo utampenda mbwa wako.
ungemgawa bure kwa mtu mkuuKwa muda ambao nimekaa mbali na sitegemei kurejea kwa kipindi Cha miezi 10 nafkiri nimefanya sahihi ili kuepusha matatizo zaidi.
Kwa upande wa amri/utii nilifanikisha kwa upande wangu ila nilikosea kwa watu walionizunguka maana sikufikiria endapo nitakuwa mbali je wengine wangeishi naye vipi?ndio hapo Sasa umbali ulipopelekea hayo yote maana kwa ukali wake hakutaka kusikiliza mtu mwingine.
Uko kwenye majukumu/mihangaiko unapigiwa simu mbwa kakata nyororo na katoka nje ya uzio/geti kamfunga kimtaa si mchezo ndugu yangu,kesi za ndani ya nyumba mbwa sijui kanikamata mkono,nguo zilikuwa haziishi
sasa ukimuamisha paka wangu Gabby ataponea wapi wa watoto wao je?Mbwa wakali kwaajili ya matajiri pambaneni
Mi nauliza nimpeleke wapi paka wangu akafungwe kizazi asizae naona katakuwa kamalaya haka
Ni kweli lakini sidhani mtu kawaida kama ingekuwa rahisi kumtrain/kukaua naye labda ningemrudisha nilipomchukua angali mdogoungemgawa bure kwa mtu mkuu
Mark my wordsmbwa hashambulii kwa sababu ya njaa, bali kwa kuona himaya yake imevamiwa au kukihisi anapuuzwa ama ana adhibiwa.
marked not to such extentsMark my words
Kuna mtu kana mkopy tabia hapo kanapo ishiMbwa wakali kwaajili ya matajiri pambaneni
Mi nauliza nimpeleke wapi paka wangu akafungwe kizazi asizae naona katakuwa kamalaya haka
[emoji2][emoji2] dahh ila ....Mbwa wakali kwaajili ya matajiri pambaneni
Mi nauliza nimpeleke wapi paka wangu akafungwe kizazi asizae naona katakuwa kamalaya haka
Uwezo wa kufikiri umefikia hapo, kumiliki mbwa ishirini unafikiri mchezo. Mbwa si njiwa, pia ukiangalia hoja haijazuia wewe kumiliki hao mbwa wako ishirini. Bali kutoa elimu kwa watu wenye akili timamu na wanaofikiria kumiliki mbwa au tayari wanamiliki mbwa.Hii ni ajenda ya vibaka kutuingiza choo cha kike, hatuyumbishwi, mimi nina mbwa kama 20, na mambo yako shwari tu
Mkuu, nimecheka kwa nguvu sana, mbwa si njiwa, asante Mkuu, ila inategemea kila ntu na ntu na akili yakeUwezo wa kufikiri umefikia hapo, kumiliki mbwa ishirini unafikiri mchezo. Mbwa si njiwa, pia ukiangalia hoja haijazuia wewe kumiliki hao mbwa wako ishirini. Bali kutoa elimu kwa watu wenye akili timamu na wanaofikiria kumiliki mbwa au tayari wanamiliki mbwa.
Kwani harufu ya tajiri wao hawaijui kama hawa makoko yetu ukiwa hata mita 300 tu kashakutambua.Niende moja kwa moja kwenye mada, ukiamua kufuga mbwa hasa hawa wakizungu kama Rottweiler, Pitt Bull, Mastif, Belgium Malnoir nk, tenga muda wa kuwa nao karibu. Mafunzo ni muhimu wafanye watambue kuwa wewe ndo mkuu na kiongozi.
Kwanini nasema hivi kuna kipindi nileta habari ya mbwa ya mbwa kumuua kijana wa kazi Dar, nilieleza kwa urefu saana, nikaeleza namna ya kuishi na mbwa kama Rott, Pitbull, Borebull na bila kusahahau GS. Lakini wengi walifanya utani bila kuzingatia somo. Narudia tena kwa ufupi kwa sababu kuna issue ya mbwa kumuua boss wao huko SA.
Chukuwa tahadhari zaidi unapokuwa na cross breed ya mbwa. Nimeyasema kwa sababu kuna mbwa wameua mmiliki wao huko SA, source BBC. Mimi ni mfugaji wa mbwa aina ya Rottweiller ninao wanne lakini wana utii wa hali ya juu.
Usiku inapoktokea wabweka saana nikiamka nitawaita nikiwa ndani watakuja dirishani au mlangoni, baada ya hapo ndo ninafungua mlango ninatoka then wao watanielekeza wapi kuna shida.
Usitoke nje kabla hujawasiliana na mbwa wako hasa kama tayari walikuwa wamechUkia na hakuna umeme, wanaweza kukuvamia na kukua.
Mi nadhani paka wa kike by nature ni malaya au wana high sexual drive, wangu kuna kipindi hadi anajisugua ukutani jinsi anavyowashwa, nilijua yeye ndo malaya pekeake, i love cats a lotMie nnao wajukuu tayar, soon mama na mtoto watakua labour wotee kushusha vitu. [emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
Uko sahihi wewe unaongelea mbwa koko mimi naongelea mbwa ambao kwa asili ni walinzi. Kifupi unapokuwa unafundishwa kuhusu mbwa unakumbushwa mbwa ni risasi ambayo iko tayari chemba inasubiri kufyatuka. Hivo ni juu kuendelea kubaki na hao koko au kufuga mbwa wa kisasa uendane na kanuni bora za namna ya kuwafuga au uzipuuze siku moja wakutafuneKwani harufu ya tajiri wao hawaijui kama hawa makoko yetu ukiwa hata mita 300 tu kashakutambua.
Hyo mnayomiliki nyie sio mimbwa, ni minyama ya porini sema binadamu mmeilazimisha kuifuga na matokeo yake ndio inawatafuna wamiliki,inakumbuka asili yao.
Kwa hiyo hao walinzi pua zao hazina uwezo wa kutambua harufu ya bosi wake.Yaani hata panya wa SUA wanawashinda kweli?Uko sahihi wewe unaongelea mbwa koko mimi naongelea mbwa ambao kwa asili ni walinzi. Kifupi unapokuwa unafundishwa kuhusu mbwa unakumbushwa mbwa ni risasi ambayo iko tayari chemba inasubiri kufyatuka. Hivo ni juu kuendelea kubaki na hao koko au kufuga mbwa wa kisasa uendane na kanuni bora za namna ya kuwafuga au uzipuuze siku moja wakutafune
Kwani harufu ya tajiri wao hawaijui kama hawa makoko yetu ukiwa hata mita 300 tu kashakutambua.
Hyo mnayomiliki nyie sio mimbwa, ni minyama ya porini sema binadamu mmeilazimisha kuifuga na matokeo yake ndio inawatafuna wamiliki,inakumbuka asili yao.