Kwa wale wapenda mbwa tuchukue tahadhari

Kwa muda ambao nimekaa mbali na sitegemei kurejea kwa kipindi Cha miezi 10 nafkiri nimefanya sahihi ili kuepusha matatizo zaidi.

Kwa upande wa amri/utii nilifanikisha kwa upande wangu ila nilikosea kwa watu walionizunguka maana sikufikiria endapo nitakuwa mbali je wengine wangeishi naye vipi?ndio hapo Sasa umbali ulipopelekea hayo yote maana kwa ukali wake hakutaka kusikiliza mtu mwingine.
Uko kwenye majukumu/mihangaiko unapigiwa simu mbwa kakata nyororo na katoka nje ya uzio/geti kamfunga kimtaa si mchezo ndugu yangu,kesi za ndani ya nyumba mbwa sijui kanikamata mkono,nguo zilikuwa haziishi na nje ndio kabisa kesi serikali ya mtaa zilizid
 
ungemgawa bure kwa mtu mkuu
 
ungemgawa bure kwa mtu mkuu
Ni kweli lakini sidhani mtu kawaida kama ingekuwa rahisi kumtrain/kukaua naye labda ningemrudisha nilipomchukua angali mdogo
Ila waliniuzia mbegu ya ajabu wale field force 😅 nilikuwa najua German shepherd ila sijui ilichanganywa na mbegu gani Ile mbwa miguu ya mbele kama anabeba chuma
 
Hii ni ajenda ya vibaka kutuingiza choo cha kike, hatuyumbishwi, mimi nina mbwa kama 20, na mambo yako shwari tu
Uwezo wa kufikiri umefikia hapo, kumiliki mbwa ishirini unafikiri mchezo. Mbwa si njiwa, pia ukiangalia hoja haijazuia wewe kumiliki hao mbwa wako ishirini. Bali kutoa elimu kwa watu wenye akili timamu na wanaofikiria kumiliki mbwa au tayari wanamiliki mbwa.
 
Mkuu, nimecheka kwa nguvu sana, mbwa si njiwa, asante Mkuu, ila inategemea kila ntu na ntu na akili yake
 
Kwani harufu ya tajiri wao hawaijui kama hawa makoko yetu ukiwa hata mita 300 tu kashakutambua.

Hyo mnayomiliki nyie sio mimbwa, ni minyama ya porini sema binadamu mmeilazimisha kuifuga na matokeo yake ndio inawatafuna wamiliki,inakumbuka asili yao.
 
Kwani harufu ya tajiri wao hawaijui kama hawa makoko yetu ukiwa hata mita 300 tu kashakutambua.

Hyo mnayomiliki nyie sio mimbwa, ni minyama ya porini sema binadamu mmeilazimisha kuifuga na matokeo yake ndio inawatafuna wamiliki,inakumbuka asili yao.
Uko sahihi wewe unaongelea mbwa koko mimi naongelea mbwa ambao kwa asili ni walinzi. Kifupi unapokuwa unafundishwa kuhusu mbwa unakumbushwa mbwa ni risasi ambayo iko tayari chemba inasubiri kufyatuka. Hivo ni juu kuendelea kubaki na hao koko au kufuga mbwa wa kisasa uendane na kanuni bora za namna ya kuwafuga au uzipuuze siku moja wakutafune
 
Kwa hiyo hao walinzi pua zao hazina uwezo wa kutambua harufu ya bosi wake.Yaani hata panya wa SUA wanawashinda kweli?
 
Kwani harufu ya tajiri wao hawaijui kama hawa makoko yetu ukiwa hata mita 300 tu kashakutambua.

Hyo mnayomiliki nyie sio mimbwa, ni minyama ya porini sema binadamu mmeilazimisha kuifuga na matokeo yake ndio inawatafuna wamiliki,inakumbuka asili yao.
 

Attachments

  • VID-20221206-WA0002.mp4
    1.3 MB
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…