Kwa wale wapenda movie. Karibu nikusaidie kuipata

Kwa wale wapenda movie. Karibu nikusaidie kuipata

Mkuu kuna movie naitafuta ila nimeisahau jina..

Ilikua ni ya kichina au kijapani hivi kitambo aisee, kuna jamaa alitumwa akamuue boss flani hivi. Jamaa alienda akamuua kanisani alikua amejificha chini ya gari akamwagia risasi za kumwaga. Sasa za genge la yule mzee aliyeuwawa wakaanza kumuwinda jamaa. Hapo ndo kuna uhondo wa muvi na kuna mdada mmoja alimsaidia.
Mwisho wa siku anarudi na kwa yule aliyemtuma cha ajabu tena huyo aliyemtuma akamchapa risasi. Humo kuna jamabazi lilikua kishingo linapenda kuchezesha sana shingo.
Mwanzo nilikua najua inaitwa bad guys ila nimeitafuta kwenye platform zote sijaiona mzee kama unaijua hebu nisanue naitafuta sana
Sio the killer? Hii
 
Wakuu ndio nimeanza kuuza movie online natoa ofa mpak mwezi wa saba nitakua natuma movie bure kabisa iwe imetafsiriwa au haijatafsiriwa link nakutumia pm nikiweka hapa mods wanafuta uzi wangu:

Kwasasa sipo whatsapp nitatuma link pm na instagram pekee unachotakiwa kufanya ni kunitajia jina la movie tu nami nakuwekea link PM bureee mpak mwezi wa 6 nitakua hapa nikiwaburudisha
Naomba hii ya shrankhan iliyotafsiriwa inaitwa "Kal Ho Naa Hoo" nyingine mission possible iliyotafsiriwa pia
 
series ya mera dil au
Ni singo muvi ipo hivi kuna jamaa alikua mbabe kinoma anatembea kifua wazi sasa akawa anampenda demu flani hivi ila huyo demu hampendi jamaa kuna siku mera alikua anataka kumteka huyo demu akajiachia kwenye maporomoko.. Sijui kilichoendelea ni kitambo sana niliiona.. N movie ya kihindi
 
Wakuu ndio nimeanza kuuza movie online natoa ofa mpak mwezi wa saba nitakua natuma movie bure kabisa iwe imetafsiriwa au haijatafsiriwa link nakutumia pm nikiweka hapa mods wanafuta uzi wangu:

Kwasasa sipo whatsapp nitatuma link pm na instagram pekee unachotakiwa kufanya ni kunitajia jina la movie tu nami nakuwekea link PM bureee mpak mwezi wa 6 nitakua hapa nikiwaburudisha
Naomba link ya Movie ya Gladiators ya Maximo...
 
Back
Top Bottom