kimsboy
JF-Expert Member
- Oct 17, 2016
- 9,846
- 20,319
Nishasema kitimoto ni dhambi[emoji1787]
Kitimoto ni dhambi[emoji1787]
Nguruwe ni haramu[emoji1787]
Narudia nguruwe ni haramu[emoji1787]
Hiyo menyu ni balaa full majaribu[emoji23]
Nireteeni mbusi
Nireteeni mbusii
Nasema nireteeni mbusiiiiii
Rakini mbona mbusi haiwi hivyo ndugu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
My take:Simple and clear wanaokula kuleni kama imani yenu inawaruhusu, msiokula msile kwa kua imani yenu inawazuia.Cha muhimu tu kila upande usimletee shida mwenzio kama huli kausha waachie wanaokula wale, na kama unakula kila kistaarabu usifanye jambo ambalo litawaumiza wasiokula...Kila kitu na mipaka yake...Ushauri bora....kila mtu atabeba msalaba wake peke yake...kila mtu ana uhuru..tusiingiliane
Kimaro nishasema[emoji39][emoji39]
Kitimoto ni dhambi[emoji1787]
Nguruwe ni haramu[emoji1787]
Narudia nguruwe ni haramu[emoji1787]
Hiyo menyu ni balaa full majaribu[emoji23]
Nireteeni mbusi
Nireteeni mbusii
Nasema nireteeni mbusiiiiii
Rakini mbona mbusi haiwi hivyo ndugu zangu[emoji1787][emoji1787][emoji1787]
My take:Simple and clear wanaokula kuleni kama imani yenu inawaruhusu, msiokula msile kwa kua imani yenu inawazuia.Cha muhimu tu kila upande usimletee shida mwenzio kama huli kausha waachie wanaokula wale, na kama unakula kila kistaarabu usifanye jambo ambalo litawaumiza wasiokula...Kila kitu na mipaka yake...Ushauri bora....kila mtu atabeba msalaba wake peke yake...kila mtu ana uhuru..tusiingiliane
Kimaro nishasema[emoji39][emoji39]