Kwa wale wapenzi wa kitimoto, ona roast ya kitimoto hapo

Kwa wale wapenzi wa kitimoto, ona roast ya kitimoto hapo

Tojo wapiiiiii mdudu [emoji38][emoji38][emoji3] yule babu wa Njooy now yuko Clouds view Raskazone. Ni nomaaa
Hahahahhhahah Njooy piga sana mdudu,hata alivyohamia clouds view bado huwa naenda kugonga menyu
 
We jamaa ni muislamu safi sana! Ni muislamu anayeijua dini yake na asiyeendeshwa na hisia bali fact!

Nilikuona hata kwenye uzi ule wa Thomas Aquinas jinsi ulivyokuwa ukimjibu yule muislamu mwingine!!

Nakukubali sana mkuu, Salute!
Kuna waislamu safi halafu kuna waislamu kichefuchefu

Huyu jamaa yuko safi sana hana shida na mtu anajali yanayomhusu tu
 
Inaonekana INAVUTIA kwelikweli....

Japo mimi siili...kiimani...na kiitikadi...ila mkila ninyi masela wetu mbona SHEGA TU....

Tunawaacha mle hizo kilokilo na KACHUMBARI za buku mbili....[emoji1787]

Mkimaliza tutajiunga nanyi "maskani" tupige stori za UCHUMI WA KATI na MAENDELEO YASIYO VYAMA.....

LIFE'S ALL BOUT SHARING EXPERIENCES....
Hahaha [emoji119],naqubal mwamba
 
Mkuu hizo habari za haramu ziko kiimani na kitamaduni....

Imani haishikiki(not tangible)...

Ila ukiwa huria juu ya kila kitu....basi jua pia kuna WATU wasio na MIPAKA kwenye NGONO na KUJAMIIANA....

Wako wanaoona "kumwendea" dada wa damu,mtoto wa kumzaa,mtoto wa ndugu,Mjukuu SI TATIZO na WALA MSHIPA HAUWAPIGI...kwani kwa maneno yako "Mungu ameumba hivyo viungo"....

Wako wanawaendea WANAUME wenzao na wala mshipa HAUWAPIGI ..kwani Mungu "kaumba" hayo "wayatumiayo".

Kupanga ni kuchagua budaaa....
Ushauri makini sana huu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Back
Top Bottom