Kwa wale wapenzi wa kitimoto, ona roast ya kitimoto hapo

Tojo wapiiiiii mdudu [emoji38][emoji38][emoji3] yule babu wa Njooy now yuko Clouds view Raskazone. Ni nomaaa
Hahahahhhahah Njooy piga sana mdudu,hata alivyohamia clouds view bado huwa naenda kugonga menyu
 
We jamaa ni muislamu safi sana! Ni muislamu anayeijua dini yake na asiyeendeshwa na hisia bali fact!

Nilikuona hata kwenye uzi ule wa Thomas Aquinas jinsi ulivyokuwa ukimjibu yule muislamu mwingine!!

Nakukubali sana mkuu, Salute!
Kuna waislamu safi halafu kuna waislamu kichefuchefu

Huyu jamaa yuko safi sana hana shida na mtu anajali yanayomhusu tu
 
Hahaha [emoji119],naqubal mwamba
 
Ushauri makini sana huu

Sent from my TECNO KG5j using JamiiForums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…