Kwa wale wapenzi wa matangazo ya TV na Radio, tangazo lipi unalipenda?

Kuna matangazo ya eazypesa yalikuwa yanarushwa eastafrica radio ya mmasai anaitwa lomayan na jamaa yake oswald yalikuwa yananichekesha hatari...
osward ni ajeeee[emoji23][emoji23]
 
Sipendagi matangazo hivyo yyakianza nabadili chanel. Kipindi cha kombe la dunia pekee ndio huwa nayaangalia.
Tukikaa wote tutagombana napenda commercial break saana. Tangazo nililowahi kulichukia la pedi freestyle anavyooshesha zinavyovaliwa.
 
Tukikaa wote tutagombana napenda commercial break saana. Tangazo nililowahi kulichukia la pedi freestyle anavyooshesha zinavyovaliwa.
Hahahaaaa!! Hutaki kuona zinavyovaliwa?
 
osward ni ajeeee[emoji23][emoji23]
Hahaha.. mimi lomayan

Sasa aliyekuwa ananichekesha ni lomayan akipewa aongee na demu wake osward... hello princess hahaha.

Akimaliza anapewa osward anamuuliza arifuuu umemdanganya mtoto wewe ni chifuuu nini [emoji23] [emoji23]
 
Kuna matangazo ya eazypesa yalikuwa yanarushwa eastafrica radio ya mmasai anaitwa lomayan na jamaa yake oswald yalikuwa yananichekesha hatari...
Aisee umeniwahi hili tangazo. Osward na mzungu wake. Nilikuwa nalipenda sana
 
Ili uwe rubani sharti ulale kwenye chandarua[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]
 
Jamani nilikiwa nalipenda tangazo la bambucha.
Haloo unaenda wapi sasa hivi ?
Around
Niunge teller
(Hapa sijui walikuwa wanasema hivo[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23])
Bambucha
 
Hahaha.. mimi lomayan

Sasa aliyekuwa ananichekesha ni lomayan akipewa aongee na demu wake osward... hello princess hahaha.

Akimaliza anapewa osward anamuuliza arifuuu umemdanganya mtoto wewe ni chifuuu nini [emoji23] [emoji23]
kuna moja aliua "ananiita beby[emoji23][emoji23][emoji23]
 
Chai nzuri yenye nguvu
Uuuh
Maisha yotee
Ni chai jabaaa... Kikombe cha urafikiiiiii.....
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…