Kwa wale wapenzi wa soka tu, pitia hapa (inaweza ikakusaidia)

Kwa wale wapenzi wa soka tu, pitia hapa (inaweza ikakusaidia)

Burudani kama yoteView attachment 1870784View attachment 1870785
20210727_205851.jpg


Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
 
Kuna risiva maalum zenye uwezo huo, mfano star sat, mediastar, gt media, n.k, ukinunua mpya inakuja na account ya forever server ya mwaka 1 isipokua gt media ambayo inasupport cccàm. Kuna wauzaji/mawakala wanaoshughulika na accounts
Dishi lielekeze uelekeo husika 16e kwa Kanda ya kusini wakati huo Receiver inaungwa na internet, na freq husika ziingize kwenye receiver

Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Bei yake imekaaje na hayo malipo yakoje sheikhe nahitaji sana hii kitu
 
Kama a natumia internet ina maana haina tofauti na mtu anaetumia app ya android ama website wanazotumia kwenye pc. Hio ni iptv.

Hapo itakuwa tu hio decoder ina support iptv.
mgeni kidogo na hyo ipt maelekezo tafadhali,,
 
Hayo ndo Mambo ya IKS
Mtwara watu wanakula maisha kwa madish madogo tu. bando ni kidogo sana gb 2 kwa mwez haiishi, ukiwa ukanda wa kusin mwa nchi package simple Ni hiyo anayotumia huyo mzee Ila Kuna channel za Israel nazo zinatunguliwa kwa mtindo huo hasa wale wa mikoa ya magharibi na Kanda ya ziwa. Tusiongee sana hii kitu ni ilegal
mhh! nani anahusika na kamatakamata hii
 
Kwa kutumia Simu ya mkononi ni App gani nzuri kuangalia football live wakuu. Msaada tafadhali
 
Back
Top Bottom