Simbamteme
JF-Expert Member
- Sep 10, 2011
- 804
- 2,131
- Thread starter
-
- #21
Mkuu umetumia gharam gani na je ni mahitaji yapi yanatakiwaBurudani kama yoteView attachment 1870784View attachment 1870785View attachment 1870786
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app
Bei yake imekaaje na hayo malipo yakoje sheikhe nahitaji sana hii kituKuna risiva maalum zenye uwezo huo, mfano star sat, mediastar, gt media, n.k, ukinunua mpya inakuja na account ya forever server ya mwaka 1 isipokua gt media ambayo inasupport cccàm. Kuna wauzaji/mawakala wanaoshughulika na accounts
Dishi lielekeze uelekeo husika 16e kwa Kanda ya kusini wakati huo Receiver inaungwa na internet, na freq husika ziingize kwenye receiver
Sent from my TECNO KC6 using JamiiForums mobile app
Ipi nzuri kwa maisha yetu ya kimasikiniBei yake imekaaje na hayo malipo yakoje sheikhe nahitaji sana hii kitu
mgeni kidogo na hyo ipt maelekezo tafadhali,,Kama a natumia internet ina maana haina tofauti na mtu anaetumia app ya android ama website wanazotumia kwenye pc. Hio ni iptv.
Hapo itakuwa tu hio decoder ina support iptv.
mhh! nani anahusika na kamatakamata hiiHayo ndo Mambo ya IKS
Mtwara watu wanakula maisha kwa madish madogo tu. bando ni kidogo sana gb 2 kwa mwez haiishi, ukiwa ukanda wa kusin mwa nchi package simple Ni hiyo anayotumia huyo mzee Ila Kuna channel za Israel nazo zinatunguliwa kwa mtindo huo hasa wale wa mikoa ya magharibi na Kanda ya ziwa. Tusiongee sana hii kitu ni ilegal
Kuangalia tv kupitia internet inaitwa Iptv, ukidownload app ya azam na kuangalia TV inamaana unatumia iptv.mgeni kidogo na hyo ipt maelekezo tafadhali,,
umentoa ushamba! mwee! naashukuru.. 🥴Kuangalia tv kupitia internet inaitwa Iptv, ukidownload app ya azam na kuangalia TV inamaana unatumia iptv.
Tafuta dstv now upewe utizame hd kabisa au hesgoal piaKwa kutumia Simu ya mkononi ni App gani nzuri kuangalia football live wakuu. Msaada tafadhali
Download DStv Now nikupe email na password ule vitu ligi inaanza hiyoo utakosa uhondoKwa kutumia Simu ya mkononi ni App gani nzuri kuangalia football live wakuu. Msaada tafadhali
mkuu naomba huruma yako inipitie,Mimi app tayari ninayoDownload DStv Now nikupe email na password ule vitu ligi inaanza hiyoo utakosa uhondo
Pole mkuu nafasi zimeshajaa zilikua mbili tu ,ngoja niangalie mtu wa kumtoa nikupe accessmkuu naomba huruma yako inipitie,Mimi app tayari ninayo
sawa kaka,Nakuja inbox tuyajengePole mkuu nafasi zimeshajaa zilikua mbili tu ,ngoja niangalie mtu wa kumtoa nikupe access
umetumia LNB ipi mkuuNimehangaika hatimae nimefanikiwaa..kwa heri DSTVView attachment 1870775View attachment 1870776View attachment 1870777View attachment 1870778View attachment 1870779View attachment 1870781View attachment 1870780View attachment 1870782
Sent from my SM-A315F using JamiiForums mobile app