Hapo ukikojoa tu ni kuoga faster kama ZUMA
Bado mnatumiaaa kondom...kavukavu ndio habar ya mjini
Hapo ukikojoa tu ni kuoga faster kama ZUMA
Kwa hiyo ukipiga bao 3 kuoga mara 3 pia
Basi kuna ulazima wa kutengeneza condom za aina nyingine tuvae kama chupi ili kulinda korodani zetu
Yaah na ndio kinemsaidia ZUMA
First of All niwape PONGEZI za haja kwakulinda maisha yenu kwa Kuvaa KONDOMU kila mnapo pigana MITI, Afya ni utajiriii...
Ishu yangu kwa wadau wa SALAMA (3BOMBA,HALISI) wale wa DUME na zile za kithungu kama ROUGH RIDER na mengineyoo!! nilikuwa na Swali...
Hivi yale maji maji ya UKENI ambayo yanagusa katika shina la MBO.O wakati wa kupigana Miti na mengine kugusa hata MAPUMB.U hivi hayana hatari ya kuleta maambukizi ya STDs ikiwemo na UKIMWI kwa Mlengwa haswaa mwanaume???
Vaa KONDOMU utimize ndoto zako
Wasalaaam!!
Mkuu kama nimekupata vizuri unamaanisha percent zilizopo tayari zikatwe, meaning waathirika waliopo tayari wafe wote au vipi, ili tubakie wapya tutakaotengeneza hiyo 0.1, hahaha
Unamaanisha nn?
Dawa unavaa boxa ya tundu mbele na ndom inakua imepitiliza mpaka ndan so no maj maj kukugusa.
Au unapiga juujuu tuu.