Kwa wale wenye magari na ambao hampandi daladala, hivi ndo vioja tunavyopata kwenye daladala wenzenu tusio na magari!

Konda anatangaza, wenye hela kubwa (elfu kumi) au inatokea unampatia noti ya elfu kumi, then anakuambia atakupa chenji, mnafika kituo unachoshuka unamwambia nipe chenji yangu, anakuambia, dah nimekosa chenji basi wewe chukua tu hela yako (ile elfu kumi) acha mi nile hasara, basi unafurahi unaondoka zako na kumshukuru konda, kumbe umepewa noti feki, hiyo ndiyo bongo dari salama
 
[emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2] [emoji2]
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…