Shida yangu iko kwenye weight.Umepata 20.453 na hesabu yako ni mzuri sana .Tafsiri yake ni kuwa BMI yako ni 20. 453 na INA maana uko underwiht. Yaani ni mwembmba . ukiwa mwembmba Wa asili haina shida kwa Afya yako. Inasdikiwa wembamba huishi muda mrefu kuliko wanene na nadra kupata shinikizo LA juu LA damu au kisukari na magonjwa mengine yasiyoambukiza . wembamba ni sala kuliko wanene maishani.
Mkuu hiyo hesabu upo sawa ila hizo cut off points hazipo sawa
Asante kwa kutoa cut off point Sahihi .Upo kwenye afya inayofaa..
BMI- uwiano wa uzito na urefu
-kwa watu wazima ukitoa
wajawazito
Reference
BMI= weight in kg÷height (m square)
18.5-24.9.....normal
25-29.9......overweight
>30........ obese/kiriba tumbo
Kwa maana ya kuwa urefu wako na uzito wako vinatakiwa viendane
Kwa muda mrefu niliweka kambi huo kwenye kuingia wa blue. Sasa hivi ndiyo ninasogelea yellow. Si rahisi, proper meal ninakula breakfast, lunch na dinner ni boiled eggs na salad. Maji kwa sana tu.Kitongaa kama hesabu zilipita kushotoView attachment 1076432
Jitahidi aisee... nipo kijani katikati..Kwa muda mrefu niliweka kambi huo kwenye kuingia wa blue. Sasa hivi ndiyo ninasogelea yellow. Si rahisi, proper meal ninakula breakfast, lunch na dinner ni boiled eggs na salad. Maji kwa sana tu.