Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Kwa wale wenye "MAJINI" vichwani au pembeni yao

Shirki ni kuabudu chochote kisichokuwa mwenyezi Mungu kukitegemea kama muumba.

Kukiri kuwa hakuna Mungu isipokuwa chenyewe na kuomba au kusali kwa imani kama sanamu, mizimu, majini, jua n.k

Lakini kuwa karibu au kuzungumza na hivyo shirki yake inakuja kwenye kukiabudu.

Pia neno shikri sio uchawi.
Uchawi ni kitu kingine na shirki ni kitu kingine na pia shirki sio miujiza. Miujiza ni jambo lingine na shirki ni jambo lingine,


Achilia mbali Shirki na Ushirikina kwa waswahili wenyewe hawawezi kukupa maana ya utofauti wa maneno haya shirki ikisema maana yake ni kuabudu asiye kuwa Mungu na USHIRIKINA wanakwambia ni uchawi.

Hali ya kuwa ni neno moja likiwa na mitajo tofauti lakini linalazimishwa kuwa na maana mbili tofauti.


Rakims
Mwenyezi mungu (subhanna huwata allah ) amewapa majini sheria zao kutokana na maumbo yao yalivyo.

Vile vile sisi tumewekewa sheria zetu ambazo nadhani unazijua.

Sheria walizowekewa majini ni hizi hapa kwa uchache.

1.kutokuvuka mipaka(boundaries ) waliyowekewa na kuchanganyana na binadamu walaa kushirikiana nao kwa lolote.
Jini atakayevunja sheria hii moja kwa moja ataingia kundi la masheitwani (jua kuna masheitwani ya kibinadamu na kijini) sasa wewe una sheitwani ambalo lipo ndani ya mwili wako .

2.kumuabudu Allah (subhana huwataallah).

Sasa point yangu hasaa ni hapo namba moja,majini hayatakiwi yaingiliane na kushirikiana na binadamu kwa lolote .

Maana kufanya hivyo kutapelekea kumuasi Allah (subhanna hu wataallah)
Maana ili Jini akusaidie kuna masharti anayotaka itabidi ufuate yaani nipe nikupe na hii tumeona kwenye visa vingi vya kiislamu.

Sasa wewe unaye watumia hao majini labda nikuulize unataka ilmu ipi hasa au unayatumia kwa kipi ambacho Allah hawezi kukupatia ?

Kumbuka yenyewe ni viumbe pia na vinahitaji kula , kulala na kuzaliana sasa unapomuweka kwenye mwili wako unadhani atakula nini? Kama sio ndo kuanza kuwekewa masharti mpaka ya kuvaa , kula na kafara nyenginezo?

Naomba majibu hapo ☝.
 
Haina tofauti na mtu aliyetolewa msukule lakini lengo la hawa waliosema hapo walilenga kivuli ni nyota yake na kwa maneno mengine nyota kwa hawa waswahili wanaita bahati hivyo bahati yake inakuwa inatumika na mtu mwingine hali ya kuwa yeye anabaki kuhangaika na maisha ya kila siku

Rakims
Kama unayo hadi elimu ya nyota (astrology) basi sina cha kuelimishana na wewe zaidi maana moja kwa moja unaingia kwenye shirki (kwa maana unajifanya kuingilia ilmu ya ghaibu kwa kutumia majini,ambayo hakuna anayeijua zaidi ya Allah) soma quran 72:4-9.
 
Japo uzi ni wa muda kidogo ila nimeona nichangie ni kwamba , hakuna jini mwema anayeingilia mambo ya binadamu yeye kaumbwa ni kiumbe na sisi ni viumbe nia ni moja tu kumuabudu mwenyezi mungu.

Nina wasi wasi wewe jamaa ni mganga wa kutumia majini , na kaa ukijua kuyatumia majini kwa kutaka yenyewe au kwa kuyalazimisha ni moja ya shirki na shirki huwa haisamehewi.

Na mwenyezi mungu anajua zaidi.
Nashukuru kwa kujua kwamba Mwenyezi Mungu anajua zaidi. Naomba nikwambie kwamba wapo majinni wema ambao wanapenda mwanadamu aache dhambi na daima hawe mtu wa kusali na kuacha mambo maovu kama umalaya, pombe, sigala n.k. Pia mfano hai ninao kabisa.
 
Nashukuru kwa kujua kwamba Mwenyezi Mungu anajua zaidi. Naomba nikwambie kwamba wapo majinni wema ambao wanapenda mwanadamu aache dhambi na daima hawe mtu wa kusali na kuacha mambo maovu kama umalaya, pombe, sigala n.k. Pia mfano hai ninao kabisa.
Hakuna jini mzuri na mwema anayeingilia maisha ya binadamu iwe ni kwa jambo zuri au jambo baya maana sheria moja kati ya nyingi walizowekewa na Allah ni kutovuka mipaka ya ulimwengu wao (tusiouona) na kuingilia maisha ya binadamu.

Jini atakayefanya hilo moja kwa moja atakuwa kaingia kwenye u shetani.

Kwanini hio sheria ipo? Binadamu na viumbe wote tunatakiwa kumtegemea Allah pekee na ndiyo maana tukapewa uwezo wa kuamua(free will) uwezo huu tunao sisi binadamu na majini pekee , hii inatufanya tuamue kumfuata Allah au kumkataa maamuzi ni yetu na hatutakiwi kupangiwa.

Maana hakuna kulazimishana kwenye dini .
Hayo mnayoyaita majini mema yapo yanafanya ibada na kufuata sheria za Allah ila haya masheitani sasa ndiyo yanadanganya watu usiku na mchana kwa kujifanya mema kumbe ni mabaya.

Mwisho wa siku ndo mnakuja kuingia kwenye shirki dhambi ambayo haisameheki yaani unainunua dunia kwa kuuza akhera yako .

Allahu a'alam.
 
Nashukuru kwa kujua kwamba Mwenyezi Mungu anajua zaidi. Naomba nikwambie kwamba wapo majinni wema ambao wanapenda mwanadamu aache dhambi na daima hawe mtu wa kusali na kuacha mambo maovu kama umalaya, pombe, sigala n.k. Pia mfano hai ninao kabisa.
Angalia mwisho wa hao waliokuwa wanayafuga hayo masheitani halafu uniambie kama hawajaishia kuyatumikia badala ya mwenyezi mungu wao.

Tusome sana aisee maana huu uzi aliyeleta mwenyewe hana points za kukataa kwamba hafanyi shirki maana aya nyingi tu zinamfunga .
 
Mbona wazungu watu wenye hela nyingi huwa wmhawaapndishi mashetani.
Isije ikawa majini ni kupagawa kwa kichwa kutokana na kufail ama kukwama kwenye jambo fulani.
 
Angalia mwisho wa hao waliokuwa wanayafuga hayo masheitani halafu uniambie kama hawajaishia kuyatumikia badala ya mwenyezi mungu wao.

Tusome sana aisee maana huu uzi aliyeleta mwenyewe hana points za kukataa kwamba hafanyi shirki maana aya nyingi tu zinamfunga .
Uchawi upo kwa maksudi yake na mwenyezi Mungu sio mjinga kuacha uoperate hapa duniani, ndio maana kuna white magics na black magics. Ni kama wewe ndani ya roho yako unapande mbili au side mbili ambazo ni mema (good) na mabaya (evil).
 
Uchawi upo kwa maksudi yake na mwenyezi Mungu sio mjinga kuacha uoperate hapa duniani, ndio maana kuna white magics na black magics. Ni kama wewe ndani ya roho yako unapande mbili au side mbili ambazo ni mema (good) na mabaya (evil).
Mungu ameacha uchawi uwepo ili uwe mtihani na ndio maana narudi kwenye binadamu na majini kupewa uwezo wa kuamua mema na mabaya ima ufuate ukufuru uingie motoni au uuache na kumfuta mwenyezi mungu ili upate malipo siku ya kiama.

Na nikusahihishe hakuna black wala light magic hizi ni terminologies ambazo wameziweka watu kadhaa ili kuhalalisha kufuru Uchawi ni uchawi ili ufanyike lazima ukufuru mungu nakupa mifano hai.

Mganga atajigamba kwamba anafanya white magic kwa madai ya kusaidia watu matatizo yao lakini hapo hapo anakambia leta kuku anamfukia hai au anachinja kisha anakunywa damu unadhani kwanini anakunywa damu? Jua analisha majini (mashetani) anayoyatumia kufanyia uchawi wake kwa madai ya uganga , bado kumbuka kamtesa mnyama wa watu kwa kumfukia.

Hapo hapo anachukua maneno matakatifu kutoka kwenye kitabu kitakatifu kisha anayaandika kwenye nazi kwa kutumia damu ya hedhi (kufru kiasi gani hiyo? Astaghfirullah najilinda kwa allah na kufru hiyo).

Ukija kwa wachawi/mchawi naye ana majini(mashetani) yake anayoyatumia kupata elimu ya uchawi hawa ndiyo wale wanaitwa wakutumia black magic ,ukija kuangalia
Origin yao ni moja yaaani woote wanategemea majini(mashetani) na jini(shetani) hakusaidii mpaka ufanye kufru .

sasa sijui nani huwa anawadanganyana kwamba uchawi ni kitu kizuri .

Jua ukiwa mshirikina (mchawi,mganga au mtabiri nyota(astrologist)) wewe ni umeuza tiketi ya pepo na kununua moto direct na dhambi yake haina msamaha .

Hivyo ukipita hiyo njia tu fanya kuishi maisha yako hapa duniani kama upo peponi maana hakuna msamaha kwa mshirikina bi idhinillah.

Na Allah anajua zaidi.
 
Mbona wazungu watu wenye hela nyingi huwa wmhawaapndishi mashetani.
Isije ikawa majini ni kupagawa kwa kichwa kutokana na kufail ama kukwama kwenye jambo fulani.
Elimu imeletwa na wazungu. Kasome metaphysics vizuri sio kuja na hoja iliyokosa mashiko kitaaluma. Tumia saikolojia uliyonayo vizuri kwasababu ukiitumia vibaya tutakukamata.
 
Mungu ameacha uchawi uwepo ili uwe mtihani na ndio maana narudi kwenye binadamu na majini kupewa uwezo wa kuamua mema na mabaya ima ufuate ukufuru uingie motoni au uuache na kumfuta mwenyezi mungu ili upate malipo siku ya kiama.

Na nikusahihishe hakuna black wala light magic hizi ni terminologies ambazo wameziweka watu kadhaa ili kuhalalisha kufuru Uchawi ni uchawi ili ufanyike lazima ukufuru mungu nakupa mifano hai.

Mganga atajigamba kwamba anafanya white magic kwa madai ya kusaidia watu matatizo yao lakini hapo hapo anakambia leta kuku anamfukia hai au anachinja kisha anakunywa damu unadhani kwanini anakunywa damu? Jua analisha majini (mashetani) anayoyatumia kufanyia uchawi wake kwa madai ya uganga , bado kumbuka kamtesa mnyama wa watu kwa kumfukia.

Hapo hapo anachukua maneno matakatifu kutoka kwenye kitabu kitakatifu kisha anayaandika kwenye nazi kwa kutumia damu ya hedhi (kufru kiasi gani hiyo? Astaghfirullah najilinda kwa allah na kufru hiyo).

Ukija kwa wachawi/mchawi naye ana majini(mashetani) yake anayoyatumia kupata elimu ya uchawi hawa ndiyo wale wanaitwa wakutumia black magic ,ukija kuangalia
Origin yao ni moja yaaani woote wanategemea majini(mashetani) na jini(shetani) hakusaidii mpaka ufanye kufru .

sasa sijui nani huwa anawadanganyana kwamba uchawi ni kitu kizuri .

Jua ukiwa mshirikina (mchawi,mganga au mtabiri nyota(astrologist)) wewe ni umeuza tiketi ya pepo na kununua moto direct na dhambi yake haina msamaha .

Hivyo ukipita hiyo njia tu fanya kuishi maisha yako hapa duniani kama upo peponi maana hakuna msamaha kwa mshirikina bi idhinillah.

Na Allah anajua zaidi

Mungu ameacha uchawi uwepo ili uwe mtihani na ndio maana narudi kwenye binadamu na majini kupewa uwezo wa kuamua mema na mabaya ima ufuate ukufuru uingie motoni au uuache na kumfuta mwenyezi mungu ili upate malipo siku ya kiama.

Na nikusahihishe hakuna black wala light magic hizi ni terminologies ambazo wameziweka watu kadhaa ili kuhalalisha kufuru Uchawi ni uchawi ili ufanyike lazima ukufuru mungu nakupa mifano hai.

Mganga atajigamba kwamba anafanya white magic kwa madai ya kusaidia watu matatizo yao lakini hapo hapo anakambia leta kuku anamfukia hai au anachinja kisha anakunywa damu unadhani kwanini anakunywa damu? Jua analisha majini (mashetani) anayoyatumia kufanyia uchawi wake kwa madai ya uganga , bado kumbuka kamtesa mnyama wa watu kwa kumfukia.

Hapo hapo anachukua maneno matakatifu kutoka kwenye kitabu kitakatifu kisha anayaandika kwenye nazi kwa kutumia damu ya hedhi (kufru kiasi gani hiyo? Astaghfirullah najilinda kwa allah na kufru hiyo).

Ukija kwa wachawi/mchawi naye ana majini(mashetani) yake anayoyatumia kupata elimu ya uchawi hawa ndiyo wale wanaitwa wakutumia black magic ,ukija kuangalia
Origin yao ni moja yaaani woote wanategemea majini(mashetani) na jini(shetani) hakusaidii mpaka ufanye kufru .

sasa sijui nani huwa anawadanganyana kwamba uchawi ni kitu kizuri .

Jua ukiwa mshirikina (mchawi,mganga au mtabiri nyota(astrologist)) wewe ni umeuza tiketi ya pepo na kununua moto direct na dhambi yake haina msamaha .

Hivyo ukipita hiyo njia tu fanya kuishi maisha yako hapa duniani kama upo peponi maana hakuna msamaha kwa mshirikina bi idhinillah.

Na Allah anajua zaidi.

Mungu ameacha uchawi uwepo ili uwe mtihani na ndio maana narudi kwenye binadamu na majini kupewa uwezo wa kuamua mema na mabaya ima ufuate ukufuru uingie motoni au uuache na kumfuta mwenyezi mungu ili upate malipo siku ya kiama.

Na nikusahihishe hakuna black wala light magic hizi ni terminologies ambazo wameziweka watu kadhaa ili kuhalalisha kufuru Uchawi ni uchawi ili ufanyike lazima ukufuru mungu nakupa mifano hai.

Mganga atajigamba kwamba anafanya white magic kwa madai ya kusaidia watu matatizo yao lakini hapo hapo anakambia leta kuku anamfukia hai au anachinja kisha anakunywa damu unadhani kwanini anakunywa damu? Jua analisha majini (mashetani) anayoyatumia kufanyia uchawi wake kwa madai ya uganga , bado kumbuka kamtesa mnyama wa watu kwa kumfukia.

Hapo hapo anachukua maneno matakatifu kutoka kwenye kitabu kitakatifu kisha anayaandika kwenye nazi kwa kutumia damu ya hedhi (kufru kiasi gani hiyo? Astaghfirullah najilinda kwa allah na kufru hiyo).

Ukija kwa wachawi/mchawi naye ana majini(mashetani) yake anayoyatumia kupata elimu ya uchawi hawa ndiyo wale wanaitwa wakutumia black magic ,ukija kuangalia
Origin yao ni moja yaaani woote wanategemea majini(mashetani) na jini(shetani) hakusaidii mpaka ufanye kufru .

sasa sijui nani huwa anawadanganyana kwamba uchawi ni kitu kizuri .

Jua ukiwa mshirikina (mchawi,mganga au mtabiri nyota(astrologist)) wewe ni umeuza tiketi ya pepo na kununua moto direct na dhambi yake haina msamaha .

Hivyo ukipita hiyo njia tu fanya kuishi maisha yako hapa duniani kama upo peponi maana hakuna msamaha kwa mshirikina bi idhinillah.

Na Allah anajua zaidi.
Elimu haina mwisho, kile ninachokijua na kile unachokijua ni kama tone moja la mvua ndani ya bahari. Lengo la mada hii sio kushikilia tu kile ulichojifunza, bali tunatakiwa kufanya tafiti za kina na kupata maarifa zaidi juu ya mambo haya. Mchakato mzima unahitaji vitu vitatu ambavyo ni Learn, Unlearn and Re-learn.
 
Mwenyezi mungu (subhanna huwata allah ) amewapa majini sheria zao kutokana na maumbo yao yalivyo.

Vile vile sisi tumewekewa sheria zetu ambazo nadhani unazijua.

Sheria walizowekewa majini ni hizi hapa kwa uchache.

1.kutokuvuka mipaka(boundaries ) waliyowekewa na kuchanganyana na binadamu walaa kushirikiana nao kwa lolote.
Jini atakayevunja sheria hii moja kwa moja ataingia kundi la masheitwani (jua kuna masheitwani ya kibinadamu na kijini) sasa wewe una sheitwani ambalo lipo ndani ya mwili wako .

2.kumuabudu Allah (subhana huwataallah).

Sasa point yangu hasaa ni hapo namba moja,majini hayatakiwi yaingiliane na kushirikiana na binadamu kwa lolote .

Maana kufanya hivyo kutapelekea kumuasi Allah (subhanna hu wataallah)
Maana ili Jini akusaidie kuna masharti anayotaka itabidi ufuate yaani nipe nikupe na hii tumeona kwenye visa vingi vya kiislamu.

Sasa wewe unaye watumia hao majini labda nikuulize unataka ilmu ipi hasa au unayatumia kwa kipi ambacho Allah hawezi kukupatia ?

Kumbuka yenyewe ni viumbe pia na vinahitaji kula , kulala na kuzaliana sasa unapomuweka kwenye mwili wako unadhani atakula nini? Kama sio ndo kuanza kuwekewa masharti mpaka ya kuvaa , kula na kafara nyenginezo?

Naomba majibu hapo [emoji121].
Habari,
Pole kwa kuchelewa kukujibu unachotakiwa kuelewa ni kuwa sio kila unachoambiwa ni kweli hivyo kama umeambiwa na mtu hayo mambo jaribu kusoma katika vitabu sahihi hakuna kitabu kimezuia kuchangamana na majini ni akili tu za kuambiwa na kuchanganya na zako hoja ya kwanza ya shirki hujaimaliza unaruka ruka tu.

Niongeshe kitabu kilichosema hakuna kuchangamana na majini takuonyesha kilichohhusu kuchangamana nao


Rakims
 
Kama unayo hadi elimu ya nyota (astrology) basi sina cha kuelimishana na wewe zaidi maana moja kwa moja unaingia kwenye shirki (kwa maana unajifanya kuingilia ilmu ya ghaibu kwa kutumia majini,ambayo hakuna anayeijua zaidi ya Allah) soma quran 72:4-9.
Hapa pia ninaweza kuona ufinyu wako wa idea vile vile maana nahisi hata ghaibu na uwezekano hujui kutofautisha nyota zinazungumzia uwezekano, wakati ghaibu inazungumzia yajayo sasa hii kama ni quote ya kuthibitisha mimi mshirikina kama unavyodai bado mkuu leta nyingine

Rakims
 
Nashukuru kwa kujua kwamba Mwenyezi Mungu anajua zaidi. Naomba nikwambie kwamba wapo majinni wema ambao wanapenda mwanadamu aache dhambi na daima hawe mtu wa kusali na kuacha mambo maovu kama umalaya, pombe, sigala n.k. Pia mfano hai ninao kabisa.
Badi elimu yake ni ndogo inabidi arudi kusoma, lakini pia kusoma sana hakuongezi akili kwa mwenye kukalili ila kwa muelewa
 
Hakuna jini mzuri na mwema anayeingilia maisha ya binadamu iwe ni kwa jambo zuri au jambo baya maana sheria moja kati ya nyingi walizowekewa na Allah ni kutovuka mipaka ya ulimwengu wao (tusiouona) na kuingilia maisha ya binadamu.

Jini atakayefanya hilo moja kwa moja atakuwa kaingia kwenye u shetani.

Kwanini hio sheria ipo? Binadamu na viumbe wote tunatakiwa kumtegemea Allah pekee na ndiyo maana tukapewa uwezo wa kuamua(free will) uwezo huu tunao sisi binadamu na majini pekee , hii inatufanya tuamue kumfuata Allah au kumkataa maamuzi ni yetu na hatutakiwi kupangiwa.

Maana hakuna kulazimishana kwenye dini .
Hayo mnayoyaita majini mema yapo yanafanya ibada na kufuata sheria za Allah ila haya masheitani sasa ndiyo yanadanganya watu usiku na mchana kwa kujifanya mema kumbe ni mabaya.

Mwisho wa siku ndo mnakuja kuingia kwenye shirki dhambi ambayo haisameheki yaani unainunua dunia kwa kuuza akhera yako .

Allahu a'alam.
Bado nazidi kuona madhaifu yako ya uelewa kwa kila quote unayofanya.

Unahisi majini wana dunia yai ambayo wewe huioni na wewe una ya kwako? Tofauti na wao?

Rakims
 
Angalia mwisho wa hao waliokuwa wanayafuga hayo masheitani halafu uniambie kama hawajaishia kuyatumikia badala ya mwenyezi mungu wao.

Tusome sana aisee maana huu uzi aliyeleta mwenyewe hana points za kukataa kwamba hafanyi shirki maana aya nyingi tu zinamfunga .
Unasema nini kuhusu nabii Suleiman?
Unalipi kuhusu hadithi ya mtume aliposema nyie wote mnaqareen kasoro wangu kasilimu?

Rakims
 
Mbona wazungu watu wenye hela nyingi huwa wmhawaapndishi mashetani.
Isije ikawa majini ni kupagawa kwa kichwa kutokana na kufail ama kukwama kwenye jambo fulani.
Hapana mkuu tafuta videos za youtube tizama Jinn possession utaona hao wazungu ambao nyie wengine kwenu ndio wanadamu wakamilifu.

Rakims
 
Uchawi upo kwa maksudi yake na mwenyezi Mungu sio mjinga kuacha uoperate hapa duniani, ndio maana kuna white magics na black magics. Ni kama wewe ndani ya roho yako unapande mbili au side mbili ambazo ni mema (good) na mabaya (evil).
Hawa ndio makafiti kufurah neema wanao waona wenzao makafiri kufurah shirki
Mkuu

Rakims
 
Back
Top Bottom