- Thread starter
- #21
Ahsante ndugu, hiki si kikombe cha loliondo na wala mimi simpi mtu kikombe 1 akapona, babu na mimi ni vitu 2 tofauti kabisa. Jitahidi pia kuziondoa hizo negativity kwa kila jambo kwako, siku nyingine utakosa mambo mazuri.
All the best upendomia, kama ni kweli, isije ikawa kama kile kikombe cha babu wa loliondo!!