All the best upendomia, kama ni kweli, isije ikawa kama kile kikombe cha babu wa loliondo!!
Dada, Mungu akubariki sana sana sana, hivi ninavyoandika kwangu wife mambo yameshajipa ni karibu wiki sasa. Ninakuandalia zawadi babu kubwa na nitakuletea hivi karibuni Mungu akulinde. Hongera pia kwa jf kwa kutuweka pamoja.
wanajamvi nimeoa mwaka 2009 mpaka leo hatujajaliwa kupata mtoto,ctumekwenda hospital zaid ya tano tumefanya vipimo wote tuko sawa,nikaamua kutafuta mitishamba mke wangu ameinywa mpaka namuonea huruma,maelewano hayapo baina ya mke wangu na ndugu zangu wanataka wanitafutie binti nizae naye!siko tayari kumsaliti mke wangu.dada naomba msaada wako!
Dada upendo mbona silupati kwenye simu? nimekutumia msg, tafadhali naomba namba zako niyngine kama unazo.Asante.
wanajamvi nimeoa mwaka 2009 mpaka leo hatujajaliwa kupata mtoto,ctumekwenda hospital zaid ya tano tumefanya vipimo wote tuko sawa,nikaamua kutafuta mitishamba mke wangu ameinywa mpaka namuonea huruma,maelewano hayapo baina ya mke wangu na ndugu zangu wanataka wanitafutie binti nizae naye!siko tayari kumsaliti mke wangu.dada naomba msaada wako!
NIPO DAR ES SALAAM LAKINI NAHUDUMIA PIA WALIOKO MIKOANI.
Nafanya shughuli hizi nyumbani kwa mgonjwa/mwenye tatizo.
Nipigie: +255 714 755 582 (Dada upendomia).
Wengi niliowahi kuwatibu wamepona.
Nimepimwa nimea mbiwa nina cist na faibroid je unaweza kunisaidia kupona na kuweza kushika mimba? Niko mwanza
habar dada ntakutafuta kwa hzo no zako