Kwa wale wenye matatizo ya moyo, kuhisi dhiki ya maisha ,huna raha ,kula ndizi mbivu ndiyo dawa

Kwa wale wenye matatizo ya moyo, kuhisi dhiki ya maisha ,huna raha ,kula ndizi mbivu ndiyo dawa

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
1780672_272361682929976_2010201323_n.jpg


Kwa Wale wenye Ugonjwa Wasiwasi na dhiki ya moyo hauna raha kwa ajili ya kitu fulani unakitaka lakini hupati pendelea kula ndizi ndio Dawa itakuponyesha kutwa mara 3 Asubuhi mchana na usiku.

Health Benefits of Bananas

Last Updated: Jul 30, 2011 | By Heidi Almond
photos.demandstudios.com%2Fgetty%2Farticle%2F34%2F183%2F81926104_XS.jpg
Photo Caption Have fun with your bananas. Photo Credit Blue Jean Images/Photodisc/Getty Images Children and adults alike love sweet, nutritious bananas. Since bananas come neatly packed in their own wrapper, they are very portable. They may be eaten in their whole form, sliced into fruit salad or mashed and added to muffin and bread recipes. Frozen bananas can be added to smoothies in place of yogurt or ice cream. A serving size is one peeled medium-sized banana, about 7 inches long.
Calories

By eating a banana you can Indulge your sweet tooth without ruining your diet. A banana averages about only 110 calories.
Fat and Cholesterol

Bananas are naturally fat and cholesterol free. Use mashed bananas to substitute for some or all of the butter or oil when making cookies, for example, for a healthier treat.
Potassium

Bananas are known for their high potassium content, with over 400 mg potassium in a single medium-size banana. According to Colorado State University Extension, potassium is necessary for good nerve and muscle function as well as for maintaining a healthy balance of fluids in the body. The potassium in bananas can help prevent muscle cramps after exercise.


Vitamin C

As with many fruits, bananas contain a good amount of vitamin C. One banana provides about 10 mg of vitamin C, or about 15 percent of your daily recommended amount. Vitamin C boosts your immune system and cell health and improves the absorption of other nutrients such as iron.
Vitamin B-6 Since B vitamins are more commonly found in animal products, it may come as a surprise that bananas are an excellent source of vitamin B-6, also called pyridoxine. One banana supplies 35 percent of your daily B-6 requirement. Your body uses vitamin B-6 to grow new cells.
Manganese

Bananas are a good source of manganese, with one medium banana providing about .3 mg. Adults need between 1.8 and 2.3 mg of manganese daily. Manganese is necessary for bone health and metabolism.
Fiber

According to the USDA, one banana has about 3 g of fiber. Dietary fiber can help you feel fuller longer and also keep your digestive processes running smoothly.
Other Nutrients

Bananas also deliver small amounts of other vitamins and minerals. A banana provides some iron, magnesium, calcium and phosphorus as well as vitamins A and E, folate, carotene and choline. Bananas also contain trace amounts of many amino acids.
Carbohydrates

Your body uses carbohydrates as a primary source of energy. Eat a banana after a workout to refuel. A banana with breakfast will start your day off right and will give you the energy to make it through to lunch without snacking.
Digestibility

Bananas are easy to digest. When you're sick with a virus or indigestion, bananas can be an appealing way to get some important nutrients into your system without upsetting your stomach. Mashed bananas are also often used as an introduction to solid foods for babies.
 
Asante mtaalamu MziziMkuu,nitaifanyia kazi hiyo elimu ya afya.
 
1780672_272361682929976_2010201323_n.jpg


Kwa Wale wenye Ugonjwa Wasiwasi na dhiki ya moyo hauna raha kwa ajili ya kitu fulani unakitaka lakini hupati pendelea kula ndizi ndio Dawa itakuponyesha kutwa mara 3 Asubuhi mchan na usiku.

Nahisi kama ni porojo hizi, inawezekanaje?mtu anahitaji kitu fulani (phyical based) na kila siku nakosa raha kwa kutokipata na hivyo inaniletea wasiwasi (saikolojia). Wewe unanimbia nile ndizi? Vitamini gani vilivyomo kwenye ndizi huondoa tamaa, wasiwasi au nia?
 
Nahisi kama ni porojo hizi, inawezekanaje?mtu anahitaji kitu fulani (phyical based) na kila siku nakosa raha kwa kutokipata na hivyo inaniletea wasiwasi (saikolojia). Wewe unanimbia nile ndizi? Vitamini gani vilivyomo kwenye ndizi huondoa tamaa, wasiwasi au nia?
Usipinge kitu usicho kijuwa na elimu nacho fanya uchunguzi kwanza usije ukapata Division Five tafadhali nyinyi Wa-Danganyika ndivyo mlivyo. Mumezoea kudanganywa na Viongozi wa kisiasa basi mnaona hata kwenye Jukwaa la Afya mnadanganywa kila mtu munamuona anadanganya jina lenu Wadanganyika mliodanganywa zamani hahahahah kazi kweli ipo hapo. Asante kwa kuchangia pumba zako.
 
1780672_272361682929976_2010201323_n.jpg


Kwa Wale wenye Ugonjwa Wasiwasi na dhiki ya moyo hauna raha kwa ajili ya kitu fulani unakitaka lakini hupati pendelea kula ndizi ndio Dawa itakuponyesha kutwa mara 3 Asubuhi mchan na usiku.

Thanks MziziMkavu!
Maradhi ya wote hayo!
 
Shukrani MziziMkavu. Ndizi itakuwa bidhaa adimu sasa na bei yake ita shoot maana tayari ni dawa licha ya kutumika pia kwa wale wanaolamba kilaji kwamba ikata harufu na Hang over :coffee:
 
Last edited by a moderator:
Dr naomba nifafanulie..nikila ndizi itaondoa hiyo tamaa???au nia?? mfano ninakosa raha labda kwa sababu sina hela kumpeleka mwanangu kwa elimu ya juu..... labda biashara haziendi sawa au kipato kidogo..yani sina rahaaa....unanambia nile ndizi mbivu
 
Usipinge kitu usicho kijuwa na elimu nacho fanya uchunguzi kwanza usije ukapata Division Five tafadhali nyinyi Wa-Danganyika ndivyo mlivyo. Mumezoea kudanganywa na Viongozi wa kisiasa basi mnaona hata kwenye Jukwaa la Afya mnadanganywa kila mtu munamuona anadanganya jina lenu Wadanganyika mliodanganywa zamani hahahahah kazi kweli ipo hapo. Asante kwa kuchangia pumba zako.


Inaweza kuwa pumba maana nimehoji, wasomi wetu wa siku hizi mnataka tukubali kila kitu. Eti ukihoji unaambiwa huna taaluma hii. Kila mtu ana taaluma na kalama zake ambazo hutofauti na mwingine, tena zingine zinahitaji kutumia akili na busara. Achilia mbali hizi za kwako unazo okota okota kwenye mitandao. Hii hata mimi muuza bagia naweza, siku zote nimekuwa naenda kwenye source baada ya wewe kupost nyuzi zako, bahati mbaya zingine hazina hata maelezo ni picha tu ambayo umekopy na kupest kama kilaza. Link hiyo chini ndo uliko-copy hii pumba.

Stress relief | Wellbeing | Pinterest

Nyingine ume-copy hapa

http://www.livestrong.com/article/505406-top-ten-health-benefits-of-bananas/

Toa majibu yanisaidie, sio kujifanya mwanataaluma wa kuogopwa. Tiba mbadala ilianza tangu mababu, acha hii ya kuiba iba mitandaoni. Sorry! Nimekuwa mkali kidogo ila utani tu
 
Dr naomba nifafanulie..nikila ndizi itaondoa hiyo tamaa???au nia?? mfano ninakosa raha labda kwa sababu sina hela kumpeleka mwanangu kwa elimu ya juu..... labda biashara haziendi sawa au kipato kidogo..yani sina rahaaa....unanambia nile ndizi mbivu

Imekaa kinadharia kweli......
 
Mmmmh apana? Apa ndo nime ambiwaga vyote nivisomavyo sio ni vi amini asilimia zote duh mbona kwetu uchagani wanakula kila aina ya ndiz kisukari cjui nini na watu wana ishi na izo stress mpaka zina wauwa mmh haya bana wazungu nao kwa kutufunga funga hawajambo mpaka wana tuita danganyikeni mmh nawe mzizi mbichi bana kweli umo but punguza bana izo tafit zingine zilijaribiwa kwa mtu moja tu sasa we ukija hapa unajumuisha ni watu wote akati bina damu tunatofautiana tena sana so tusi fumbane bana ata kama shule hatuijaenda but tuwekane sawa mambo ya kugandamizia na kukariri muwe mna angalia sio vyote mna tuletea tumeze?
 
Dr Mzizimkavu nasubiri nduguyo stress zatuua......ndizi huku niliko bei cheeee
 
Back
Top Bottom