Kwa wale wenye umri wa miaka 50 na kuendelea unakumbuka jiji la Dar mwaka gani?

Kwa wale wenye umri wa miaka 50 na kuendelea unakumbuka jiji la Dar mwaka gani?

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
JIJI LA DAR MWAKA 1970.jpg

Je mwaka 1961 au mwaka 1970? Watu wengi watafeli hapo......
 
Hii picha ingepigwa leo, basi RITA TOWER ingeleta mvuto pale kwa mbele kidogo. Hongereni mliovuta above 50. Sie wengine twaweza comment mid 80s ndipo akili ilikaa ingalau.
 
ongera Mzee mwenzangu, kutukumbushia Dar ya miaka ya 60.

Wengi wa vijana wa leo hawajui istoria ya tulipotoka.

Kipindi kile jiji lilikuwa safi tofauti na sasa, vijana wanakula lamba lamba za mzee bakresa na kutupa hovyo hovyo taka.
 
Back
Top Bottom