CleverKING
JF-Expert Member
- Apr 24, 2014
- 8,502
- 25,470
Ulikua unafikiri humu sisi wote ni watoto wa jana?Duh kwani huku wapo wa umri huo mkuu?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ulikua unafikiri humu sisi wote ni watoto wa jana?Duh kwani huku wapo wa umri huo mkuu?
Asante mkuu basi ni ninayoisemea ni nyingineSnow cream tunayoitajataja hapa ni opposite ilipokuwa cathedral bookshop sasa hivi Mkombozi Bank,adjacent na Tahfif Bookshop.
Mkuu hii snow cream bado ipo mpaka leo?Snow cream tunayoitajataja hapa ni opposite ilipokuwa cathedral bookshop sasa hivi Mkombozi Bank,adjacent na Tahfif Bookshop.
Kiongozi nasikia bado ipo ila mi sina uhakika ngoja nikijaliwa kupita mitaa niliyoitaja nitakuja kutoa taarifa.Mkuu hii snow cream bado ipo mpaka leo?
Je yule mwalimu wa madrasa pale mtaa wa mafia na sikikuu bado yupo na madrasa inaendelea?Mkuu Zamiluni mi nimesoma St Joseph Mwalimu wangu mkuu alikuwa Mrs Simkoko! Snow cream na Fish and Chips maeneo ya Shesh Mahal na Topaaz ndiyo anga zangu. Beano,Dandy,Topaaz ndiyo Comic zangu. Unataka ni kwambie kitu! sikukuu ya Idd nilikuwa natembelea wapi utotoni? Mji umeharibiwa! kidongo chekundu ndiyo maeneo yetu! Mnazi mmoja garden pamevurugwa hata chemchem hazirushi maji na samaki hakuna kwenye ile sanamu inatoka maji! Viatu nilivyokuwa navaa ni Prefect za Bata![emoji23] mi nilikuwa hodari wa kutengeneza kishada/tiara[emoji324]
Lakini klabu yangu ni ile ya mitaa ya Mafia na Nyamwezi [emoji460]
Mi ni kama Robinson cruise
Namshukuru Mwenyezi Mungu nimeona mengi alhamdulillahi.
Hapo kwenye red ulipoweka herufi h umeharibu maana ya ulichokikusudia kabisaa!! Ungeandika hivi.UmoFaiza katika michango yako mingi nimekuona kama mtoto wa jana kumbe humo!
Mama Chupaki pale Madrasa panatambulika kama Al-jumaa, Maalim wa pale sijui unamzungumzia Marhum Sharrif Juneid. Siku hizi pale kuna Zahanati (Dispensary).Je yule mwalimu wa madrasa pale mtaa wa mafia na sikikuu bado yupo na madrasa inaendelea?
Naulizia ile madrasa aliyokuwa inafundishwa maalim Abubakar Mzinga.Mama Chupaki pale Madrasa panatambulika kama Al-jumaa, Maalim wa pale sijui una mzungumzia Marhum Sharrif Juneid. Siku hizi pale kuna Zahanati (Dispensary).
Mkuu Umechemsha sio Kichwele hapo huo ni Mtaa wa Nkuruma kushoto ni Petrol Station ya Total au Esso kipindi hicho na hilo Jengo mbele ya Petrol Station kwa Sasa ni Duka la National Tyre. wahindi wanauza Matairi na mambo mengine kwa bei kubwa kuliko maelezo. Upande wa kulia kuna jumba la Sinema la New Chox..
Kichwele Mtaa wake ulibadilishwa jina na Ukaitwa Indira Gandhi kipindi hicho alipoitembelea Nchi akazawadiwa Mtaa. na Jina la Mtaa wa Market nadhani ndio wa kwanza and then soko likafa ukaitwa Kichwele and the Indira Gandhi.
So huo Nkuruma kama nao uliitwa Kichwele nirekebishe. Maana Mimi nilikuwa Mkazi wa City center miaka ya mwanzo ya 80's so nilikuwa nazunguka sana kutafuta company ya watoto mitaa yote kucheza maana ilikuwa ni shida watoto kupatikana mitaani kucheza.
Watoto wa Kariakoo enzi hizo Matusi na wizi yaani wanakupora wazi wazi and then walikuwa wachafu even kina FaizaFoxy
Mkuu Mgogoone
Dada Shamim,Dada Halima na Mjomba Said Mahfudh hawa ni jamaa zangu sana.
MgogooneMkuu Mtebetini
Heshima kaka
ilikuwa wapi hiyo mtaa gani?![]()
Huyo twiga aliuzwa wapi
Hiyo sio Dar nimeweka tu ilikuwa ni Uhuru Avenue Tanga mwaka 1964.ilikuwa wapi hiyo mtaa gani?
Mkuu hapa sasa umempa uhakika huyu jamaa uliposema hadi nguzo za umeme na hata taa ni zilezile kabisa kwa kweli umeitendea haki picha yako katika kufananisha, hongera sanaMkuu upo Dar? Kama upo Dar pita hilo eneo mchana wa kesho piga picha kisha ilete hapa hiyo view ya kutokea mnara wa saa kulia mwa picha hayo majengo ni tofauti na picha ya kale.
Hebu tazama hii picha nyingine ya jana
![]()
![]()
![]()
Angalia mpaka nguzo za umeme bado ni zilezile za kale [emoji15] [emoji15]
Mie nilisoma na Aluu Ally wa Simba pale Azania ila alisoma kwa muda mfupi sijui yuko wapi huyu jamaaJamani mmenikumbusha class mate wangu Mussa Simba tulisoma wote Tambaza nae akiichezea Congo United miaka hiyo.Mwenye taarifa zake tafadhali anicheki inbox.Natanguliza shukrani.