Nguvu za kiume tunatibu kwa kutumia vitu vya asili yaani matumizi ya samaki, dagaa, karanga, mboga za majani kwa wingi na matunda, kufanya mazoezi kila siku angalau dk 30 kila siku. Matumizi ya mahindi mabichi kande, punguza matumizi ya fried foods. Punguza stress na kutojiamini kwenye mapenzi. Upungufu wa nguvu za kiume sababu kubwa ni psychological hasa kubwa ni kutojiamini au kupania sana mademu. These are the factors. Nimetibu watu wengi sana na wataendelea vizuri. Lakini pia nawafundisha namna ya kufanya mwanamke afike kileleni. Baada ya hapo wengi hujiamini. Na kupigisha kwata la kutosha