Kwa Wale Wenye Wafanyakazi wa ndani aka House Girl

Kwa Wale Wenye Wafanyakazi wa ndani aka House Girl

Herbalist Dr MziziMkavu

JF-Expert Member
Joined
Feb 3, 2009
Posts
42,872
Reaction score
34,363
448227359_10168358741000198_577914029058446232_n.jpg
 
How you treat her is what she'll pay you back


Sijawahi kuwa na housegirl mwenye matatizo alafu ni WATAMU

NB;SIJAOA
Mkuu haujasikia vilio vinavyosababishwa na H/Gs kwa waajiri wao?

Inamaana watu wote hao treatments zao kwa wafanyakazi wao ni mbovu?

Sema nini, Mungu anakuepusha tu, kwanza kubali hili ili tuendelee na mjadala..
 
Mkuu haujasikia vilio vinavyosababishwa na H/Gs kwa waajiri wao?

Inamaana watu wote hao treatments zao kwa wafanyakazi wao ni mbovu?

Sema nini, Mungu anakuepusha tu, kwanza kubali hili ili tuendelee na mjadala..
Nadhani ni kutokana na experiance pamoja na uchunguzi wa kesi nilizowahi kuchunguza binafsi.

House girl ukimlipa vizuri,ukampa mapumziko ya kutosha,haki zake za msingi pamoja na kumuelekeza anapokosea sidhani kama anaweza kufanya tukio la ajabu.


Hilo la Gas "Naweza kusema kuwa" huenda alikata mpira kwa bahati mbaya na juu ya Uoga kwa bosi wake akaamua atatue anavyoona inamfaa


NB;Sijaoa hivyo housegirl wangu ni kama mke tuu....
 
1. Hizi Gas pipe zina muda wa kuzitumia- kisha unatakiwa zibadilisha. Uenda ilikuwa imefika mwisho wake so inatengeneza mipasuko na Dada alijaribu kuziba ili pipe iendelee tumika.. ni wazo tu
2. Leakage yake na kiasi cha ges- aiwezi chukuwa round kabla harufu yake amjaisikia na pia ingeisha tu mapema....

Mt 7:1-14​

 
1. Hizi Gas pipe zina muda wa kuzitumia- kisha unatakiwa zibadilisha. Uenda ilikuwa imefika mwisho wake so inatengeneza mipasuko na Dada alijaribu kuziba ili pipe iendelee tumika.. ni wazo tu
2. Leakage yake na kiasi cha ges- aiwezi chukuwa round kabla harufu yake amjaisikia na pia ingeisha tu mapema....

Mt 7:1-14​

Akili kubwa mkuu

sio kila anachofanya house girl ni kwa lengo baya shida ni mapokeo tuu
 
House girl watamu ila mostly vvu victim ndio maana usimuache kijana wako w kiume Akawa na mazoea na house girl ,wote washaAmbiagwa inama,kaa kule ,nenda kule nikugonge
 
Jenga mazoea ya kumfanyia Check up kila mara
Kumbuka kila mtu ana uhuru wakucheki afya yake na hana haki ya vitu vyake vya kiafya unless otherwise uwe unampa mshabara mkubwa ila 70000,50000,wengine wana beki tatu wa darasa la saba 14-16 exposed to UKIMWI NJE NJE NA UKIUKWAJI WA HAKI UNA KUTA VITOTO VISHAZOEWA KUPELEKEWA MOTO
 
Akili kubwa mkuu

sio kila anachofanya house girl ni kwa lengo baya shida ni mapokeo tuu
Tuwapende na tuwaelewe kuwa nao ni Watu na wanategemewa na watoto, Wazazi na Ndugu zao- tuna waachia WATOTO WAZAZI WETU NA NYUMBA ZETU NA PENGINE NA MAHELA TENA MENGI TU NA OUR NEW CARS NA FUNGUWO ZAKE- wapo na tunawakuta😭! Na pengine tunawapa majukumu ya maza House! Na tunakuwa wakali kwao🇨🇺God bless Our House Girls ! Mbinguni waingie bila kuojiawa wala kuwa scanned kama pale Serena Hotel
 
Back
Top Bottom