mkuu jana nilikuwa shy vijijini nilienda kucheki mazingira kwanza kabla ha2ja pangwa asikwambie mtu kule ni pabaya ile mbaya hakuna maji wala umeme afu shule zipo ndani sana hakuna nyumba za waalimu ni kupanga tu na nyumba zilizopo ni za tembe.mkubwa mimwenye nimepangwa uko ila niliyojionea jana hadi raha ya kupata kazi imeniisha.ni pm kwa maelezo zaidi.
Mi nipo AR kwa sasa.naomba contact zako mkubwa oldonyo.thanks for prior information