Kwa wale wote tusiokua na bahati, tukutane hapa kupeana moyo.

Nasema hivi, tengeneza mazingira rafiki ya kupata bahati.

Kama unataka kushinda bahati nasibu, angalau soma mchezo ukate tiketi.

Sio hujasoma mchezo, hujakata tiketi, unasubiri radi ipige ofisi za bahati nasibu ipasue milango halafu upepo upeperushe tiketi, uvunje dirisha lako na kuiweka tiketi iliyoshinda mezani mwako.
 
Mm kila demu nayetongoza ananiambia ana MTU tyr tena wa malengo kabisa....gundu hili...nmeamua niachane kwanza na mambo ya wanawake
Tafuta kwanza maisha. Ukiwa vizuri milango itafunguka yenyewe. Utaona wanavyo jigongesha kwako
 
Reactions: k29
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…