Mwaihojo Mwaseba
New Member
- Jul 10, 2015
- 2
- 0
Habari wakuu,
Kuna watu wanamtindo wa kujaamiana na watu wasiowaamini kwa Mara ya kwanza au pili bila kondom halafu anaenda mbele kujilaumu au anajialaumu kesho yake, baada ya siku kadhaa anajipa moyo yule alikuwa fresh tu, mara anakutana na mwingine anarudia tena halafu anajilaumu anakuhangaika sana baada ya stori anazokuja kusikia kuhusu yule mtu.
Sasa tumechoka kushauri kila siku, tambua una thamani sana.
Kuna watu wanamtindo wa kujaamiana na watu wasiowaamini kwa Mara ya kwanza au pili bila kondom halafu anaenda mbele kujilaumu au anajialaumu kesho yake, baada ya siku kadhaa anajipa moyo yule alikuwa fresh tu, mara anakutana na mwingine anarudia tena halafu anajilaumu anakuhangaika sana baada ya stori anazokuja kusikia kuhusu yule mtu.
Sasa tumechoka kushauri kila siku, tambua una thamani sana.