Kwa WALIMU hili wazo mnalionaje wakuu

Kwa WALIMU hili wazo mnalionaje wakuu

Utani huo wa kipuuzi sio mahala pake hapa bila shaka umekosea majukwaa jamiiforums is the home of great thinkers and not a crew of fools
 
Hivi kazi ya mwalimu ni kupiga wanafunzi? Ningekuelewa ungesema walau tumzike na chaki Hata mbili tatu mkuu
 
Utani huo wa kipuuzi sio mahala pake hapa bila shaka umekosea majukwaa jamiiforums is the home of great thinkers and not a crew of fools
Mwalimu acha kupanick, hii haitobadilisha uhalisia ulio kuepo.

Critical thinking is fair thinking

JF board sio wajinga kuweka majukwaa tofauti tofauti, wewe ni nani?
 
We huna akili kwa hiyo kitendea kazi cha mwalimu ni fimbo?
Bsdala useme asindikizwe na speech nzito we unasema viboko.
 
Back
Top Bottom