Kwa walimu tu; Bachelor of education in special needs vs Bachelor of education in policy planning and management ipi inamfaa mdogo wangu?

Kwa walimu tu; Bachelor of education in special needs vs Bachelor of education in policy planning and management ipi inamfaa mdogo wangu?

Its Pancho

JF-Expert Member
Joined
Sep 21, 2018
Posts
15,966
Reaction score
26,404
I salute you kinsmen.

Mdogo wangu kutoka kijijini alichaguliwa chuo huku mjini na ndio vile alipata ualimu kama mnavyojua maskini yeye ni ualimu ndiyo unamfaa ameona.

Alichaguliwa hiyo Bachelor of education in policy planning and management lakini aliomba Bachelor of education in special needs.

Sasa anataka ku postpone masomo ili mwaka aombe tena hiyo BED SPEN je atakuwa amekosea? Ipo ina uafadhali kidogo kwake japokuwa zote ni ualimu?

Nauliza haya sababu mimi nimelipa ada mkopo alikosa nisije nikaingia chaka .
 
Duh mpe pole Kwa changamoto anayopitia nduguyo,but sishauri kusitisha masomo yake ,ila Kwa kozi ya education policy planning and management sio nzuri for flesh graduates kulingana na Hali ya Ajira Kwa Sasa,kozi hiyo inapaswa kusomwa na in-service,Kwa mdogo wako nashauri asome kozi ya education in special needs anaweza toboa .ngoja tumuulize huyu mwalimu Evelyn Salt
 
Duh mpe pole Kwa changamoto anayopitia nduguyo,but sishauri kusitisha masomo yake ,ila Kwa kozi ya education policy planning and management sio nzuri for flesh graduates kulingana na Hali ya Ajira Kwa Sasa,kozi hiyo inapaswa kusomwa na in-service,Kwa mdogo wako nashauri asome kozi ya education in special needs anaweza toboa
Sasa mkuu wanasema dirisha la kubaddilisha kozi limeshafungwa hakuna uwezekano wa kubadili?

Mfano labda akienda kwa head of department? Kitu kama hicho?
 
Bachelor of edication kwa sasa ni wastage tu of time and money! Unless otherwise una shule ya kumuajiri pale tu atakapo maliza masomo yake! Au uwe na connection.

Kinyume na hapo, akimaliza atarudi mtaani kuongeza ile idadi ya wahitimu laki mbili kasoro wanaosubiria ajira elfu 10+ za serikali kila mwaka.

I wish angesomea kozi ya kumjengea uwezo wa kuweza kujiajiri mara baada tu ya kuhitimu masomo yake.
 
Bachelor of edication kwa sasa ni wastage tu of time and money! Unless otherwise una shule ya kumuajiri pale tu atakapo maliza masomo yake! Au uwe na connection.

Kinyume na hapo, akimaliza atarudi mtaani kuongeza ile idadi ya wahitimu laki mbili kasoro wanaosubiria ajira elfu 10+ za serikali kila mwaka.

I wish angesomea kozi ya kumjengea uwezo wa kuweza kujiajiri mara baada tu ya kuhitimu masomo yake.
Mkuu
Lakini mwenyewe ndiyo kataka hivyo mimi nalipa ada tu
Ila education kwa sasa hapana basi tu
 
Kama amechaguliwa Bed ppm ya udom akaisome.
Kuna mpango mkubwa sana waja kwenye hizo coz
Yaani
-bed ppm
-bed adec
-bed adman
Wataruhusiwa kuomba kazi za maendeleo ya jamii pia na si ualimu TU. Atakuwa na uwanda mpana wa kujitetea.
Hila hiyo Bed sped/spen atakuwa mwalimu TU Tena na hata asije pewa kipaombele cha kupangiwa shule zenye uitaji maalum yani atawekwa kapu Moja na walimu wengine tu kwa Sasa aina maajabu
 
Kama amechaguliwa Bed ppm ya udom akaisome.
Kuna mpango mkubwa sana waja kwenye hizo coz
Yaani
-bed ppm
-bed adec
-bed adman
Wataruhusiwa kuomba kazi za maendeleo ya jamii pia na si ualimu TU. Atakuwa na uwanda mpana wa kujitetea.
Hila hiyo Bed sped/spen atakuwa mwalimu TU Tena na hata asije pewa kipaombele cha kupangiwa shule zenye uitaji maalum yani atawekwa kapu Moja na walimu wengine tu kwa Sasa aina maajabu
Mkuu umenifungua macho
Ila sasa niliskia kuwa BED sped hiyo huwa wanachukuliwa wakimaliza tu chap wanaingia kwenye system

Ila sasa wewe leo ndio umenipa code halafu mbona kama hizi bed adman,bed ppm ni kama programme mpya?

Kwahiyo kumbe sio ualimu tu hapo pia unapiga kozi ,a maendeleo ya jamii?

Safi sana ngoja jumatatu kesho dogo nikamfuate chuoni nikamwambie
 
Mara zote usikubali watoto wanachotaka, wewe pia angalia soko la ajira.

Wakati binti yangu analilia sheria, nikamkatalia, nikamshauri aende NIT, kweli na mkono wa Mungu umekuwa naye .
 
Education miaka hii sishauri kwanini asisome course ansyoweza kujiajiri au ambazo ajira sio changamoto sana
 
Mara zote usikubali watoto wanachotaka, wewe pia angalia soko la ajira.

Wakati binti yangu analilia sheria, nikamkatalia, nikamshauri aende NIT, kweli na mkono wa Mungu umekuwa naye .
Ushauri mzuri
Lakini mimi hayo mambo ya education sifahamu sana mkuu

Soko la ajira kwa sasa gumu sana
 
Mkuu umenifungua macho
Ila sasa niliskia kuwa BED sped hiyo huwa wanachukuliwa wakimaliza tu chap wanaingia kwenye system

Ila sasa wewe leo ndio umenipa code halafu mbona kama hizi bed adman,bed ppm ni kama programme mpya?

Kwahiyo kumbe sio ualimu tu hapo pia unapiga kozi ,a maendeleo ya jamii?

Safi sana ngoja jumatatu kesho dogo nikamfuate chuoni nikamwambie
Hapana ni coz kongwe kwa baadhi ya chuo ndio wamezileta asaivi hila udom braza wangu alihitimu 2011 huko hiyo BEd ppm
 
Back
Top Bottom