CK Allan
JF-Expert Member
- Aug 14, 2013
- 2,781
- 6,139
ukishamaliza kugawa karatasi na kuhakikisha kila kitu kipo sawa waruhusu waanze kisha chukua kiti chako kakae nyuma kabisa ya darasa halafu toa tecno yako t605 anza kuchati au ingia jf usome thread..watafanya efectively coz kila mmoja atahis unamuona