kwa walimu wanao subiri ajira

LOOOK

JF-Expert Member
Joined
May 17, 2011
Posts
3,389
Reaction score
674
Kwa taarifa amabazo nimezipata kutoka chanzo cha uhakika ni kwamba walimu walio kuwa wanasubiri ajira ya serikali wanaweza wasiajiliwe kwa sasa kutokana na ufinyu wa bajeti ya wizara hali hii pia imechangia pia hata ucheleweshwaji wa moshahara kwa baathi ya secta hususan elimu hivyo .kwa taarifa iliyopo ni kwamba ajira zaweza kutoka kwa kuchelewa sana kuanzia mwezi wa nne mwishon hadi wa tano mwanzoni.
Nb. Walimu msikate tamaa hii ndio serikali ya jk isiyo kuwa na mipango thabiti.
 
Si wafanye na kaz nyingine watakaa kusubiria ajira za serikal yetu hii ambayo haieleweki itatoa lin. Kama vipi mjiajiri tu kama mim kuajiriwa hakuna dili cku hizi
 
Ni aibu mtu na elimu yako kukaa unasubiri eti kuajiliwa, tatizo la elimu ya bongo ndio hilo, haiwafundishi watu kuwa wabunifu kwa maisha yao!
 
Hata kama zikitoka 2015, Kujiajili ndo mpango mzima na sio kulialia tu, elimu ulioipata ukusaidie kukabiliana na mazingira.
 
Naomba utaje hicho chanzo chako cha uhakika,ili nifanye upembuzi yakinifu,,otherwise itakua ni Gutter information
 
weweee chausikukitamu mbona unaogopesha watu
 
weweee chausikukitamu mbona unaogopesha watu

Mbona mnatoa mada wenyewe na mnabishana wenyewe pasi na mwalimu hata mmja kutoa hoja yake, ni nani hasa kakwambia walimu wasubr ajira za serikali, waTZ mna majungu Roho zawauma sana mwonapo wenzenu wanapata, ama mnataka wawe vibaka ndo mridhike na muache kuimba hizo taarabu, ok ushauri. Mwambie huyo dadako anayesubr ajira za serikali aje nimwajiri kama vipi ili ukoo wenu uridhike. Mwanaume acha majungu kama Hadija Kopa.
 
mbona sijakuelewa IBN HACKER tunabisha kiaje hapo me nimeuliza tu sasa inakuaje
 
kweli wewe CHAUSIKUKITAMU a.k.a mpenda k..a., NO EVIDENCE NO RIGHT TO SPEAK.
 
Tutaendelea kunyanyack mpaka wa tz akili zitusogee..
 

Attachments

  • 1389038894516.jpg
    47 KB · Views: 220
Hapana kwa kweli Katika hotuba ya Presidaa Alisema Serikali itaajiri 36 Elfu 18 Elf primary na 18 Elf secondary Naomba kuwasilisha.
 
Hapana kwa kweli Katika hotuba ya Presidaa Alisema Serikali itaajiri 36 Elfu 18 Elf primary na 18 Elf secondary Naomba kuwasilisha.

mkuu kama utakumbuka mh.rais alisema ajira zingetoka mwezi october zilitokaa?asiye amin aendelee tu kusubiri huku akiachia fursa zingine zikimpita kw kusubiria hiyo ajira asiyo eleweka.
 
kweli wewe CHAUSIKUKITAMU a.k.a mpenda k..a., NO EVIDENCE NO RIGHT TO SPEAK.

haswaa mkuu lakini hulazimishwi kuamin na sidhani kama kila kitu unaamini kwa envidance mkuu we endelea kusubiri kaka ,,hii ndiyo siri kali ya jk.
 
Naomba utaje hicho chanzo chako cha uhakika,ili nifanye upembuzi yakinifu,,otherwise itakua ni Gutter information

we kama wasubiria chanzo endelea tu kwakweli ,kuna vyanzo vingine nimarufuku kutajwa kama chanzo cha habari nyeti sana.
 
msijali mi ndo nipo karibu na wizara so najua ajira zinatoka lini! mwez wa pili katikati wanaweza kuwafikiria
 
ajira zenu soon zitatoka, tumezingatia mahtaji maalumu, asilimia 90 tumewapeka wilaya za pembezon! Wenye somo moja la kufundisha (BED) hali yenu si nzuri.
 
Ndg TISA december mbona unanitisha??,,sisi tuliosoma BED ndy kusema tuanze kufanya mishe nyingine??,nifafanulize ni 7bu zip zinapelekea wasiajir BED??
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…