Ushauri wa MTUMISHIDC angeupeleka serikalini ungefaa zaidi. Laiti ungefanya utafiti wa hata saa moja katika shule za sekondari zilizo nyingi ni zaidi ya FUKAMA, labda ni LIBIKU yaani LIPWA BILA KUFUNDISHWA kabisa. Kuna maticha mwaka mzima anatoa tu notis, tena notis za hesabu na fizikia, inatisha. Bila kujifunza kutoka NCHI KAMA ZA NORWAY hatuwezi kufika. NORWAY walimu ndo wanaolipwa vizuri zaidi ya kada zingine hata kama scale za watumishi waliowengi hazitofautiani sana. HATA WAKITUNGA SILABUS NZURI BILA KUWAWEZESHA WALIMU NI KAZI BURE. Mfano mzuri unatoka shule za Private ambako kidogo wanavimishahara vikubwa wanafanya vizuri.