Kwa walio Dar es Salaam tu: Hili ndilo suluhisho la uhakika kukabiliana na gharama zilizopanda za internet

Solution ni kuifuta tu hii wizara na waziri wake asomewe albadri kama afande sele tuanze upya
Hili ndiyo suluhisho la kudumu.

Hatuwezi kuwa na mtu mpuuzi halafu anashikilia ofisi nyeti kama hii ya mawasiliano.
 
Sasa mkuu kuongezs gharama Kwa mtumiaji ndio kuongeza makusanyo ?walevi wamepungua Sana sababu ya Bei na Sasa watumiaji wa mtandao watapungua Sana ,imekuwa kama anasa sasa
 
Tujichange watu tunaoishi sehemu moja tununue starlink tuwe tunashare tu malipo ya mwezi
mkuu ile kit ya starlink ina cost bei gan kwan! na vip kuhusu anga la bongo lipo support na starlink satellites?
naona huku kwetu mambo taiti.
 
Dunia inaondoka kwenye mifumo ya analog kwenda wireless! Wewe unakuja na idea ya kuunganisha miwaya kama TTCL!
With all due Respect You don't know shit about Network/Internet. Next time uliza au kaakimya kwenye upande wa Internet itaendelea kuwa wired mpaka yesu atakapo rudi.
 
Sasa mkuu kuongezs gharama Kwa mtumiaji ndio kuongeza makusanyo ?walevi wamepungua Sana sababu ya Bei na Sasa watumiaji wa mtandao watapungua Sana ,imekuwa kama anasa sasa
Walevi wamepungua sababu hela ya kunywa tu hawana. Ukitaka kujua wanywaji wapo tangaza offer tu utawaona😁😁😁
 
Huku Buza hakuna mkonga mkuu
 
Sijawahi kufurahia kifo ila kuanzia leo nimeamini Magufuli alichelewa kufa.
Alichukia uhuru wa habari mpaka akaanzisha Wizara ya kunyonga uhuru wa maoni. Mungu muweke alipopastahili.
Amekufa Vifurushi vimepanda bei
 
Amekufa Vifurushi vimepanda bei
Hili swala lilikuwa linafanyiwa mchakato kabla hajafa na huyo waziri mjinga akasema hadi kufika April watakuwa wameboresha vifurushi kuwa vya gharama nafuu.. ishu ambayo watu walikuwa wakiilalamikia ni kuexpire kwa vifurshi.

Watu walitaka vifurushi visiwe vya kuexpire, huyu waziri mjinga ndio kaja nasolution yake ya kijinga baada ya kukaa na wajinga wengine wa Wa pale TCRA
 
Sijawahi kufurahia kifo ila kuanzia leo nimeamini Magufuli alichelewa kufa.
Alichukia uhuru wa habari mpaka akaanzisha Wizara ya kunyonga uhuru wa maoni. Mungu muweke alipopastahili.

Kueleweka 0%
 
Umesema elfu70?!! Umenikumbusha kuna watu walikuwa wanaandamana bei ya mkate kupanda. Mwanamfalme kusikia hivyo akasema kama mkate umepanda si wale keki!
Na kuna ile kama sukari imepsnda nunua asali
 
1.Kama una familia kitasaidia kuoungiza gharama za kila mtu kujinunulia data

2.unapata channels za kingamuzi cha zuku

3.utatumia bila kikomo, hata ukitumia gb 20 kwa siku ni wewe tu, nenda hata halotel uulizie hio gb 20 kwa siku sh ngap .
Ukitoka nyumbani ndiyo basi tena si ndiyo?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…