Ferruccio Lamborghini
JF-Expert Member
- Apr 15, 2020
- 1,667
- 2,595
Hii huduma ikifika BUZA utatujulisha
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ukitola nyumbani inatumia hata vifurusho vya elf 5 kwa mwezi vya halotel.Ukitoka nyumbani ndiyo basi tena si ndiyo?
Utatumia hata gb 10 kwa siku ni wewe tu, nenda voda ulizia hizo gb 10 ni sh ngap.
Pia hapo hapo unapata channels za kingamuzi cha zuku
Ttcl fiber 55,000/= tegetaNdio maana wameyataja maeneo kabisa ambayo hio huduma inapatikana, Sie wa Tegeta kwa Ndevu hatuhusiki!
Ttcl fiber 55,000/= tegeta
NDUGU INTERNET UNAYOIONA IMEANZIA KWENYE FIBER......MKONGA WA SERIKALI NI FIBER ZILIZOPITISHWA BAHARINI.TEKNOLOJIA UNAZOZISIKIA NI NAMNA WANAFANYA KUISAMBAZA INTERNET TOKA KWENYE FIBER KWENDA WIRELESS ILI KUWAFIKIA WENGI ILA FIBER ATABAKI KUWA MAMA LAO.SPEED YA FIBER HUFIKA HADI 100GB PER SECOND SASA WEWE NDIO UUMIZE KICHWA UTAWEZAJE KUSAFIRISHA DATA KWA WIRELESS KUIFIKIA SPEED YA FIBER..KWA SASA 5G NDIO ANAWEZA KUFIKA 20GB PER SECOND.5G can have downlink speed up to the scale of 20 Gbps and 10 Gbps uplink, practical speed measured on Fiber cables is 100 Gbps......ZAIDI FIBER HAINACHANGAMOTO ZAKIMTANDAO (NETWORK) HASA MABO YA HALI YA HEWA KAMA ILIVYO KUSAFIRISHA KWA MAWIMBI YA REDIO (WIRELESS).WIRELESS UBORA WAKE NI UFIKIAJI WA WATU WENGI HASA SIMU ZA MKONONI NA TOFAUTI NA FIBER YENYEWE IKO FIXED ENEO FULANI IKIZIDI SANA NDIO UTUMIE IYO WIFI TOKA KWENYE ROOTER HIVYO UNAWEZA KUSOGEA SAWA NA RANGE YA DEVICE YAKO KUTUMA MAWIMBI YA WIFI.Dunia inaondoka kwenye mifumo ya analog kwenda wireless! Wewe unakuja na idea ya kuunganisha miwaya kama TTCL!
Umemjibu vizur sana nazan utapunguza washamba wengi wenye ugonjwa unaotibika kama wakeNDUGU INTERNET UNAYOIONA IMEANZIA KWENYE FIBER......MKONGA WA SERIKALI NI FIBER ZILIZOPITISHWA BAHARINI.TEKNOLOJIA UNAZOZISIKIA NI NAMNA WANAFANYA KUISAMBAZA INTERNET TOKA KWENYE FIBER KWENDA WIRELESS ILI KUWAFIKIA WENGI ILA FIBER ATABAKI KUWA MAMA LAO.SPEED YA FIBER HUFIKA HADI 100GB PER SECOND SASA WEWE NDIO UUMIZE KICHWA UTAWEZAJE KUSAFIRISHA DATA KWA WIRELESS KUIFIKIA SPEED YA FIBER..KWA SASA 5G NDIO ANAWEZA KUFIKA 20GB PER SECOND.5G can have downlink speed up to the scale of 20 Gbps and 10 Gbps uplink, practical speed measured on Fiber cables is 100 Gbps......ZAIDI FIBER HAINACHANGAMOTO ZAKIMTANDAO (NETWORK) HASA MABO YA HALI YA HEWA KAMA ILIVYO KUSAFIRISHA KWA MAWIMBI YA REDIO (WIRELESS).WIRELESS UBORA WAKE NI UFIKIAJI WA WATU WENGI HASA SIMU ZA MKONONI NA TOFAUTI NA FIBER YENYEWE IKO FIXED ENEO FULANI IKIZIDI SANA NDIO UTUMIE IYO WIFI TOKA KWENYE ROOTER HIVYO UNAWEZA KUSOGEA SAWA NA RANGE YA DEVICE YAKO KUTUMA MAWIMBI YA WIFI.
Hawa zuku mikoani wapoNipo hapa natamba na Zuku Fiber nishasahau bei za bando, data na speed limits toka mwaka juziView attachment 1741251